Sababu ya Pwani, Kanda ya Ziwa kuwa na Wagonjwa Wengi Saratani ya Shingo ya Kizazi

Sababu ya Pwani, Kanda ya Ziwa kuwa na Wagonjwa Wengi Saratani ya Shingo ya Kizazi

Jamani, hata kama mimi sio mtaalam wa sektabya afya, muwe mnatumia akili kidogo kutudanganya. Hivi kwa akili ya kawaida tu, kirusi kinawezaje kusababisha ‘Cancer’? Kwanza tujue cancer ni nini, na mechanism ya kansa ikoje, tukishajua hii, mtaona how absurd it is kusema kirusi kinasababisha cancer, how? What sort of mechanics could enable a virus to actually cause cancer, naomba kuelimishwa.., maana hii ni sawa na useme radi imesababishwa na jengo kuwa refu..

Nina jamaa yangu alipata kansa ya ini.. na ocean road aliiambiwa sababu ni kirusi cha hepatitis kilichokutwa kwenye damu yake

Angejua mapema na kupata dawa za ARV virusi vingekosa nguvu ya kusababisha kansa...

Jamaa alifariki kwa hiyo kansa ya ini
 
U
Unajua kuna mambo mangapi yanayosababisha cancer?
Ni vizuri ukasoma kwanza kabla kubisha vitu usivyovijua
Nimehoji, cancer ni nini? Pili nikahoji, what mechanics could possibly enable a virus to cause cancer, mbona nimeeleweka kabisa, wewe jibu hiyo hoja, sio uniambie nikasome, hivi mti ambae hajasoma anaweza kuuliza kwa namna hii?
 
Nina jamaa yangu alipata kansa ya ini.. na ocean road aliiambiwa sababu ni kirusi cha hepatitis kilichokutwa kwenye damu yake

Angejua mapema na kupata dawa za ARV virusi vingekosa nguvu ya kusababisha kansa...

Jamaa alifariki kwa hiyo kansa ya ini
Mimi sijabisha kwamba aliambiwa hivyo. Nilichouliza ni cancer ni nini? Na kuna mechanism ipo inayomuwezesha kirusi kusababisha cancer, hivi mnashindwaje kujibu hoja mnakimbilia kuzunguka mbuyu?
 
Nimehoji, cancer ni nini? Pili nikahoji, what mechanics could possibly enable a virus to cause cancer, mbona nimeeleweka kabisa, wewe jibu hiyo hoja, sio uniambie nikasome, hivi mti ambae hajasoma anaweza kuuliza kwa namna hii?
Mkuu
Inaonyesha wewe ni mvivu sana wa kujisomea,
Kwa dunia ya Sasa hata Kama hujasoma afya,
Ungekuwa ushapita mitandaoni na kupata jibu
Badala yake unaendeleza ubishi unaonyesha ujinga mkuu,
Nenda kwenye tovuti ya afya wanaelezea pia
 
Mkuu
Inaonyesha wewe ni mvivu sana wa kujisomea,
Kwa dunia ya Sasa hata Kama hujasoma afya,
Ungekuwa ushapita mitandaoni na kupata jibu
Badala yake unaendeleza ubishi unaonyesha ujinga mkuu,
Nenda kwenye tovuti ya afya wanaelezea pia
Mimi nataka wewe unieleze kile unachoelewa, na sio matango pori uliyoloshwa kwenye tovuti mbali mbali huko mitandaoni, nimezisoma pia, ni matango pori tu, hakuna logically acceptable mechanism ya kirusi kuleta kansa, haipo, kama ipo fafanua, how?! 🤷🏽‍♂️
 
Jamani, hata kama mimi sio mtaalam wa sektabya afya, muwe mnatumia akili kidogo kutudanganya. Hivi kwa akili ya kawaida tu, kirusi kinawezaje kusababisha ‘Cancer’? Kwanza tujue cancer ni nini, na mechanism ya kansa ikoje, tukishajua hii, mtaona how absurd it is kusema kirusi kinasababisha cancer, how? What sort of mechanics could enable a virus to actually cause cancer, naomba kuelimishwa.., maana hii ni sawa na useme radi imesababishwa na jengo kuwa refu..
Kimsingi hapa mzungu atatumbia kila mbinu hadi hiki kizazi kiwe na matasa kwa asilimia 90% sababu tumeamua kumuamini yeye zaidi kuliko sisi wenyewe kufanya tafiti.

Ametutafuta kwenye chanjo za corona ametukosa kaona atuwinde huku kwenye chanjo ya kansa. Toka lini kansa ikawa na kirusi kinachoisababisha?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Watanzania wana elimu ila bado kufikiri ni changamoto.
 
Kimsingi hapa mzungu atatumbia kila mbinu hadi hiki kizazi kiwe na matasa kwa asilimia 90% sababu tumeamua kumuamini yeye zaidi kuliko sisi wenyewe kufanya tafiti.

Ametutafuta kwenye chanjo za corona ametukosa kaona atuwinde huku kwenye chanjo ya kansa. Toka lini kansa ikawa na kirusi kinachoisababisha?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Watanzania wana elimu ila bado kufikiri ni changamoto.
Yes nimeona virus inaweza kufanya kansa...
 
Mkuu
Inaonyesha wewe ni mvivu sana wa kujisomea,
Kwa dunia ya Sasa hata Kama hujasoma afya,
Ungekuwa ushapita mitandaoni na kupata jibu
Badala yake unaendeleza ubishi unaonyesha ujinga mkuu,
Nenda kwenye tovuti ya afya wanaelezea pia
Wazungu miaka hii wanatumia mitandao kupotosha. Imagine wanasema now kuna watu wanazaliwa na genetics za tofauti yaani badala ya XY kwa mwanaume na XX kwa mwanamke eti kuna XXY, mara XYX, mara XXxY. Yaani upumbavu mtupu.

Wameshagundua waafrika wanaanza kuwa smart kuwazidi sasa wanaanza kutupumbaza na hizi tafiti zao za kupotosha.

Kuweni makini.
 
Kansa haiambukizwi ni cell za mwili zinageukana na kuleta shida sio tatizo la kuambikiza bali ni tatizo ambalo husababishwa na seli za mwili kuoperate tofauti na nature yake.
Mkuu HPV nimetafuta kijuu juu inaweza kusababisha cervical cancer ambayo nadhani ndio hio cancer ya shingo ya kizazi

i think waangalie na kuestablish kama ni hiki ki virus, kwa nini watu wa huko wako susceptible kupata hiko kirusi,,

Tiba ni kuwafanyia screening kwa HPV , sababu hii nadhani ndio warning sign kuwa inaweza kuleta cancer
 
Mkuu HPV nimetafuta kijuu juu inaweza kusababisha cervical cancer ambayo nadhani ndio hio cancer ya shingo ya kizazi

i think waangalie na kuestablish kama ni hiki ki virus, kwa nini watu wa huko wako susceptible kupata hiko kirusi,,

Tiba ni kuwafanyia screening kwa HPV , sababu hii nadhani ndio warning sign kuwa inaweza kuleta cancer
But why specific group of people and if huyo virus yupo kwann hapatikani kwa wanawake wengine maeneo tofauti.

Ni kama issue ya coronavirus, walikuwa wanapush chanjo sana watu tukashtuka, wakaona waje na story kuwa virus anabadilika sana, tukasema wacha tuone anatudhuru vipi unaona sasa hivi walivyopoa nani anafuatilia tena upuuzi wao?!

Hii wanataka kuwamaliza akina dada in the future mzae watoto wasio sawa au kuacha kuzaa kabisa.

Kuna vitu vipo very odd. Tazama issue ya vidonge vya uzazi , imewaharibu mabinti wengi sana miji ya uzazi na kuwadisturb moods zao kupitia disruption ya ovulation cycle.

Ndio maana miaka hii mwanamke anakuwa na mood swings za hovyo, na anaweza hata asiwe na sex drive nzuri kama miaka ya nyuma ambayo mwanamke akishikwa bega tu analoa na yupo tayari kupanda kitandani.

Kuna vitu hawa mbuzi wanafanya behind the scene. Haya machanjo ya polio now unaona wanavyoyakazinia?!

Am telling you hizi chanjo za sasa za polio si sawa na zile za miaka tulichoma sisi. Something is very fishy.

Ma'lab technicians wetu wapo corrupted na compromised. Something is off kiukweli.
 
HPV.

Hepatitis C

Mkuu wala hupotezi muda mwingi kupata hii info,Google siku hizi wanatoa scereen shot, LOL
I know and huwa nasoma ila huwa najaribu kutazama na YouTube Doctors especially waafrika wa marekani then naanza kupata taarifa za tofauti sana.

These Western white people kuna kitu wanataka kufanya kwa jamii ya muafrika. Trust me....

We are not safe hata kidogo.
 
But why specific group of people and if huyo virus yupo kwann hapatikani kwa wanawake wengine maeneo tofauti.

Ni kama issue ya coronavirus, walikuwa wanapush chanjo sana watu tukashtuka, wakaona waje na story kuwa virus anabadilika sana, tukasema wacha tuone anatudhuru vipi unaona sasa hivi walivyopoa nani anafuatilia tena upuuzi wao?!

Hii wanataka kuwamaliza akina dada in the future mzae watoto wasio sawa au kuacha kuzaa kabisa.

Kuna vitu vipo very odd. Tazama issue ya vidonge vya uzazi , imewaharibu mabinti wengi sana miji ya uzazi na kuwadisturb moods zao kupitia disruption ya ovulation cycle.

Ndio maana miaka hii mwanamke anakuwa na mood swings za hovyo, na anaweza hata asiwe na sex drive nzuri kama miaka ya nyuma ambayo mwanamke akishikwa bega tu analoa na yupo tayari kupanda kitandani.

Kuna vitu hawa mbuzi wanafanya behind the scene. Haya machanjo ya polio now unaona wanavyoyakazinia?!

Am telling you hizi chanjo za sasa za polio si sawa na zile za miaka tulichoma sisi. Something is very fishy.

Ma'lab technicians wetu wapo corrupted na compromised. Something is off kiukweli.
Mkuu wewe ni mbishi,lol

Tunaangalia cervical cancer, waexplore na kuestablish without a doubt hii virus (HPV)ndio cause inayosababisha hio saratani ya shingo ya kizazi...

Then as preventive measures wanawake wa huko wawe screened for HPV

Kuhusu virus kuwa sehemu na sehemu nyingine not soo common au effects za virus kuwa severly sehemu moja na sio sehemu nyingine...ni sababu ya conditions ambazo zinapatikana kwenye sehemu husika kama zina favour kirusi hicho kufanya kazi,....kwa mfano corona haiko very common Africa sababu AFrica joto ni kali wakati corona virus kwenye sehemu cold kama ulaya zilishambuliwa vibaya...anyway zinaenda zikimutate inawezekana baadae hata sehemu za joto zikawa nunda...😀
 
Kimsingi hapa mzungu atatumbia kila mbinu hadi hiki kizazi kiwe na matasa kwa asilimia 90% sababu tumeamua kumuamini yeye zaidi kuliko sisi wenyewe kufanya tafiti.

Ametutafuta kwenye chanjo za corona ametukosa kaona atuwinde huku kwenye chanjo ya kansa. Toka lini kansa ikawa na kirusi kinachoisababisha?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Watanzania wana elimu ila bado kufikiri ni changamoto.
Na hapo kila mtoto wa kike masikini ya Mungu anachomwa hiyo chanjo, hawajui hili wala lile, tena wanawawahi kabla hawajaoata ujauzito, baadae wanaanza kuteseka kwa Dokta mwaka masikini, mimi nishaseme, mtoto wangu hachomwi chanjo nisiyoielewa kiundani au ya majaribio, logically na yenye mantiki
 
Back
Top Bottom