Sababu ya Senzo kuacha kazi Simba S. C. hizi hapa

Utopolo si mmemchukua, furahini sasa mfanye naye kazi kwa weledi@ Msitufokee
 
Waswahili wanapenda majungu sana.
 
SA imeendelea kumpira kati nyanja hipi mdau labda kiuchumi?
 
Umeweka unazi pembeni na kusema iliyo kweli. Binafsi nimetazama CV ya Senzo ikatosha kabisa kunipa jibu kwamba licha ya Simba kujinadi kufanya mabadiliko ya kimfumo lakini bado kuna ule "uswahili" wetu kama kawaida. Senzo amesimamia ujuzi wake ili asije akaingia kwenye rekodi za hovyo. Maana yake ni kwamba hata Yanga nao wakileta uswahili basi tutegemee hali hii kujirudi.
 
bado mnahangaika na senzo??

mmeuona moto leo uwanja wa taifa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Katika Simba day zilizo flop ya jana inaongoza. Matumizi mengi ya hela, wanasimba wachache kulinganisha na zilizopita. haina nguvu wala hamasa, yaani kama watu wamelazimishwa.
Simba siku zote ni timu isiyo na mvuto, sijui kwanini.
 
Mo anazingua wangetangaza au wapitie cv za walioomba mara ya kwanza aache mambo ya kiswahili
 
.

Kuna Mdada, Binti, M Mama anaitwa BARBARA. Huyu ni "msaidizi" wa MO, lakini inawezekana kabisa ni zaidi ya Msaidizi. Na pia kwa sasa ingawa haiko wazi lakini inasemekana huu ndio "Kaimu CEO" pale Simba kwa muda huu.
hatimae....
[SUB][/SUB]
 
Uligonga mule mule. Sasa ni dhahiri. Akina Mhaini na Tapeli wa mfuko wa Jamii wajiandae.
Binti atawatoa kamasi.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sema tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…