Sababu Ya Simba Kukosa Goli

Mario Kejob

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
441
Reaction score
536
Kwa mtazamo wangu Chama alifanya makosa ya kumsubiri Miquissone asogee wakati Kagere alikuwa kwenye position nzuri tayari huku akiomba mpira kutoka kwa Chama. Matokeo yake shambulizi hilo lilikuja kuzaa offside dakika za lala salama.

 
Kweli .. hata Luis alitakiwa kumfinya yule beki ndani ya box aweke pasi kwa chama tena ndio hakuwa offside
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…