changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Naona kuna watu wasioelewa kwanini Simba ipo kwenye timu 10 ambazo hazitoanzia hatua ya awali. Wengi wao wanasema kwavile Simba ipo kwenye kumi bora Africa ndio maana wamepata hiyo nafasi. Usahihi ni kwamba Simba wamepata nafasi kwavile timu zingine zenye nafasi zao zimeshindwa kifuzu kuingia michuano ya klabu bingwa mfano Kaizer Chiefs ila kwa upande wa rank ni kwamba Simba ni ya 16
Hii hapa rank za timu pamoja na points walizokusanya kwenye michuano ya kimataifa.View attachment leedrtkrzqgo4jawwrxr.pdf
Hii hapa rank za timu pamoja na points walizokusanya kwenye michuano ya kimataifa.View attachment leedrtkrzqgo4jawwrxr.pdf