Sababu ya timu ya Yanga kutumia kauli mbiu ya "Daima mbele nyuma mwiko"na timu ya Simba kutumia kauli mbiu ya "Nguvu moja"

Sababu ya timu ya Yanga kutumia kauli mbiu ya "Daima mbele nyuma mwiko"na timu ya Simba kutumia kauli mbiu ya "Nguvu moja"

ndo vile

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
443
Reaction score
296
Historia inaonyesha Simba fc ilianzishwa mwaka 1936,ikitumia jina la queens,baadaye ikabadilika kuwa eagle,kisha Sunderland kabla ya kuitwa mnyama Simba mwaka 1971.

Klabu hii ilianzishwa na wanachama waliotoka katika klabu ya Yanga kutokana na kutokubaliana na mambo fulani fulani yaliyokuwa yakiendelea kipindi hicho ndani ya uongozi wa klabu ya Yanga.

Hivyo basi Simba kiasili imezaliwa kutokana na mgawanyiko ndani ya klabu ya Yanga na mgawanyiko au mgogoro huu ndiyo umezaa kauli mbiu hizi mbili za "DAIMA MBELE NYUMA MWIKO NA NGUVU MOJA"
TWENDE KWENYE MGOGORO

Mnamo katikati ya miaka ya 1935 wakati ipo timu ya Yanga pekeyake kabla ya kuzaliwa kwa timu ya Simba kulitokea tajiri wa kiarabu aliyefahamika kwa jina la Maamud Salim mustafa,mwarabu huyu alikuwa na mapenzi makubwa sana na soka na pia alitumia utajiri wake kwa kiasi kikubwa katika kuifadhili timu ya Yanga.

Pamoja na mapenzi yake makubwa katika soka tajiri huyu alikuwa na tabia mbaya za ubahasha,hivyo alitumia utajiri wake kuwarubuni baadhi ya wanachama na kuweza kuwalawiti. Baada ya uongozi wa Yanga kupata taarifa ya kulawitiwa kwa baadhi ya wanachama wake uongozi ulichukua hatua kali za kuwafukuza uanachama na kumfukuza tajiri huyu wa kiarabu na kwa msisitizo wakaanzisha kauli mbiu iliyosema"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"

Na baada ya wanachawa waliokuwa wanalawitiwa kutimuliwa waliamua kuanzisha timu yao walioipa jina ya Queens baadae Simba na kuamua kuja na kauli mbiu ya Nguvu moja yani pamoja na kutimuliwa bado nguvu yao ipo pale pale!!
 
Wote ni uoga tuu team zinaendeshwa na Manara hizi
 
Acha uongo we jamaa…hujui kulikua na kauli mbiu za Umoja wa mataifa kwa Yanga na Taifa kubwa kwa Simba kitambo icho kabla ya hizi za sasa.
 
Historia inaonyesha Simba fc ilianzishwa mwaka 1936,ikitumia jina la queens,baadaye ikabadilika kuwa eagle,kisha Sunderland kabla ya kuitwa mnyama Simba mwaka 1971.

Klabu hii ilianzishwa na wanachama waliotoka katika klabu ya Yanga kutokana na kutokubaliana na mambo fulani fulani yaliyokuwa yakiendelea kipindi hicho ndani ya uongozi wa klabu ya Yanga.

Hivyo basi Simba kiasili imezaliwa kutokana na mgawanyiko ndani ya klabu ya Yanga na mgawanyiko au mgogoro huu ndiyo umezaa kauli mbiu hizi mbili za "DAIMA MBELE NYUMA MWIKO NA NGUVU MOJA"
TWENDE KWENYE MGOGORO

Mnamo katikati ya miaka ya 1935 wakati ipo timu ya Yanga pekeyake kabla ya kuzaliwa kwa timu ya Simba kulitokea tajiri wa kiarabu aliyefahamika kwa jina la Maamud Salim mustafa,mwarabu huyu alikuwa na mapenzi makubwa sana na soka na pia alitumia utajiri wake kwa kiasi kikubwa katika kuifadhili timu ya Yanga.

Pamoja na mapenzi yake makubwa katika soka tajiri huyu alikuwa na tabia mbaya za ubahasha,hivyo alitumia utajiri wake kuwarubuni baadhi ya wanachama na kuweza kuwalawiti. Baada ya uongozi wa Yanga kupata taarifa ya kulawitiwa kwa baadhi ya wanachama wake uongozi ulichukua hatua kali za kuwafukuza uanachama na kumfukuza tajiri huyu wa kiarabu na kwa msisitizo wakaanzisha kauli mbiu iliyosema"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"

Na baada ya wanachawa waliokuwa wanalawitiwa kutimuliwa waliamua kuanzisha timu yao walioipa jina ya Queens baadae Simba na kuamua kuja na kauli mbiu ya Nguvu moja yani pamoja na kutimuliwa bado nguvu yao ipo pale pale!!
Pumba tupu
 
Doh... Kumbe masimba ni mashoga yaliyotimuliwa Yanga yakaenda kuanzisha Timu yao😅🥱... Hata hvyo nilijiulizaga sana ilikuaje mijanaume mizima kujiita jina la kirembo eti 'Queens'
 
Doh... Kumbe masimba ni mashoga yaliyotimuliwa Yanga😅🥱... Hata hvyo nilijiulizaga sana ilikuaje mijanaume mizima kujiita jina la kirembo eti 'Queens'
Kabisa we jiulize mwanaume anaitwaje queen
 
Acha uongo we jamaa…hujui kulikua na kauli mbiu za Umoja wa mataifa kwa Yanga na Taifa kubwa kwa Simba kitambo icho kabla ya hizi za sasa.
Daima mbele nyuma mwiko hatutaki ushoga
 
Back
Top Bottom