Sababu ya timu ya Yanga kutumia kauli mbiu ya "Daima mbele nyuma mwiko"na timu ya Simba kutumia kauli mbiu ya "Nguvu moja"

Kwahiyo yanga walibanduliwa na mwarabu? Mzee manara vp ye hakubanduliwa kweli? Mzee k naye vp hakubanduliwa kweli?
 
Matumizi mabaya ya muda
 
Ndo kusema simba ni mabasha siyo? Kwamba walikubali kulawitiwa na mwarabu ila umoja wao ukawa pale pale..daaah
 
Kwahiyo yanga walibanduliwa na mwarabu? Mzee manara vp ye hakubanduliwa kweli? Mzee k naye vp hakubanduliwa kweli?
Waanzilishi wa simba ndiyo waliobanduliwa soma uzi vizuri
 
Na umesahau kitu muhimu sana hayo yaliyotimuliwa yote yalikua mabumbumbu kweli kweli na ndio yaliyoshindwa kutamka neno Young na kutamka Yanga.
Kifupi bila bao la Young hakuna Queens/Simba si unaona hata msemaji wao alikua anasema huku kabana pua et wanasiiiiiiiimbaaaaaa.
 
Doh... Kumbe masimba ni mashoga yaliyotimuliwa Yanga[emoji28]🥱... Hata hvyo nilijiulizaga sana ilikuaje mijanaume mizima kujiita jina la kirembo eti 'Queens'
Wakati Mwarabu anafanya yake ilikuwa ndani ya Yanga kwahiyo walioliwa ni wana Yanga. Alafu ndomana hiyo mbegu bado ipo...nikumbushe ya Kabwili please.
 
Mazembe wanashida nyingi nje ya uwanja ndio maana hatakufanya vzr kwao mtihani wanaweza fungwa hata sitashangaa kabisa
Shida zipi hizo!? Watu wameahidiwa mamilioni na Moize Katumbi unakuja kusema wana shida!?
 
Ni athari za ushoga yani hawawezi kukaza
 
Huo ndio upepo wa akili yako, unaweza kuwa hujakutanana mtu Ila ukisoma maandishi yake unamjua tabia na mazingira anayoishi.
 
Shida zipi hizo!? Watu wameahidiwa mamilioni na Moize Katumbi unakuja kusema wana shida!?
Mwanadamu anapenda mazuri tu na hasa ukiwa mvivu kutafuta ukweli,wkt wanaenda cheza na Al Hilal ya Ibenge airport walizuiwa 3 times tena nchini kwao wkt vibali vyote wanavyo, ni moja ya timu ambazo mpk serikali yao hawaipendi usifikirie wanapata ushirikiano km zilivyo timu za nchi nyingine haya yote kwakua boss wao ni mpinzani mkubwa sana wa serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…