Sababu ya vibamia ni nini?

McNair

Senior Member
Joined
Mar 18, 2017
Posts
182
Reaction score
130
Let me jump directly to the point. Hivi ni kwa nini mwanaume fulani anakuwa na kaumbele kadogo mno ka uume na mwingine hapana?

Mi sababu yangu moja inaweza kuwa kumfanyia tohara mara tu baada ya kuzaliwa ambayo husababisha kudumaa kwa ukuaji wa uume. Wewe unafikiria ni sababu ipi nyingine?

Nawasilisha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina scientific evidence lakini pichu za VIP ni moja ya sababu za vibamiami tulivyonavyo mtaani.
kwa hiyo walokuwa navyo unawashauri vipi? je nasisi tulio na majidude yetu tuache kuvaa chupi ili tusipatwe na madhara haya?
 
kwa hiyo walokuwa navyo unawashauri vipi? je nasisi tulio na majidude yetu tuache kuvaa chupi ili tusipatwe na madhara haya?
Mliokomaa hakuna memo tatizo ni kuvalisha watoto wa kiume pichu
 
Hebu tupe ushahidi wa kisayansi juu ya huo udumavu utokeao kwa sababu ya tohara ya mapema! Otherwise hayo ni maneno ya kusikia na kama ingelikua kweli basi waarabu + wapemba wote wangelikua na vibamia maana wengi wao hutairi watoto kwa kufata maelekezo ya vitabu vya dini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idadi yao kubwa ni vibamia owners

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pambana na hali yako.......Ushachelewa :Vyanzo vya Bamia:-(Myth)

-Kurithi
-Magonjwa
-Lishe Duni
-Life style
-Kutahiri umri mdogo.
 
Sina scientific evidence lakini pichu za VIP ni moja ya sababu za vibamiami tulivyonavyo mtaani.
everything in your body is determined by gene.

Kibamia ni umbile kama umbile jingine,
Kama vidole kuwa vifupi au virefu
Nywele kuwa ndefu au.pilipili
Weupe au weusi
 
Mbona huko nyuma haya matatizo hayakuwa makubwa na kukuzwa kihivyo. Labda yafuatayo yanahusika:

1. Utandawazi umevunja ile miiko ya kutozungumzia mambo ya chumbani, huenda tatizo lilikuwepo toka zamani

2. Inawezekana kweli kumekuwepo na mabadiliko ya kijenetiki kwa ME ambapo imesababisha zao kuwa ndogo au kwa KE kuwa kubwa?

3.Inawezekana mabadiliko ya maisha ikiambatana na utandawazi KE wamekuwa wakijihusisha na michezo mibaya toka utotoni kiasi kwamba wakifika umri wa kutulia wanawaona wenza wao ni MAJANGA kutokana na uzoefu wao?

4. Inawezekana ni madhara ya kufutilia mbali mafunzo ya JANDO na UNYAGO imesababisha wazazi na walezi wa siku hizi kukosa maarifa ya sanaa ya nyeti za watoto wao. Maana hata wanaume siku hizi wanalalamika hawazioni vile vitumbua vilivyoumuka au ile mizizi mirefu kufunika mji maringo

5. Au basi ni mbwembwe tu za UBEIJING kuwakosesha AMANI NA KUJIAMINI wanaume kumbe raha ya kukuna ali mradi uwe na kucha?

Hii kitu inahitaji tafiti JADIDU.
 
Mleta maada naomba tasfiri sahihi ya KIBAMIA kwanza kisha ntachangia.
 
Me nlivyo ambiwa ni kwamba,mtoto mvlana akiwa mdogo ukiwa una penda sana,kumvalisha pampas mda wote dudu lazma iwe ndogo,maana kuna muda ana takiwa avae na nepi au asivae,kamj mchana una takiwa umwache apumue,wengne wavivu kufua, sasa at the end of the day Ndyo kama ivyo,mkaka mzuri anakua na dudu ndogo.
 
Hicho kibamia hata kikisimama kinabaki hvohvo au kinatanuka na kuwa dude?
 
Ukiona ya mwenzako ndogo ujue we unayo kubwa & vice versa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…