Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Umeshawahi kukusanya zile chapati mbili na supu unaanzia kama kifungua kinywa asubuhi
Ugali, wali au makande mchana
Wali jioni.
Ukuvikusanya vyote pamoja utaona mlima wa chakula unao ingia mwilini mwako kila siku. Kwa wale wanywa pombe kuna calories za pombe hapo juu yake.
Mahitaji yako ya mwili ya siku yanaweza kuwa ni Robo tu ya mlima wa chakula unaokula. Lakini tumbo limesha tanuka na ili lijae unahitaji 1/2 ya mchele jioni.
Kupunguza portion ya chakula ni njia moja wapo kama hutaki unene pia kuongeza unywaji wa maji.
Ugali, wali au makande mchana
Wali jioni.
Ukuvikusanya vyote pamoja utaona mlima wa chakula unao ingia mwilini mwako kila siku. Kwa wale wanywa pombe kuna calories za pombe hapo juu yake.
Mahitaji yako ya mwili ya siku yanaweza kuwa ni Robo tu ya mlima wa chakula unaokula. Lakini tumbo limesha tanuka na ili lijae unahitaji 1/2 ya mchele jioni.
Kupunguza portion ya chakula ni njia moja wapo kama hutaki unene pia kuongeza unywaji wa maji.