Sababu ya vitambi ni kula chakula kingi kupita mahitaji yetu.

Nasikia kusex sana kunapunguza unene kwa mwanaume, sbb utatumia calories nyingi, hivyo kusaidia kupunguza extra calories za kunenepeana.. Au😀
Hata kwa mm pia iliwahi kuwork,.kwa mwaka nadhani nilikuwa nasex siku 240 na nilikuwa nakula very rough na sikuwahi kunenepa,.tofauti na sasa naweza kaa mwaka sijui dudu nadhani hii imenifanya nimegain uzito daah!!!
 
Unaempenda lazima atajua sex

Unajua sie wanaume kuna wakati tunanunua sex ila hatupendi, hapo ndio huta enjoy ila unakata kiu na hamu kidogo unaondoka zako... Ila ikiwa ni kipenda roho hapo ndio uzito utapungua kabisa na itakuwa ni zoezi tosha.. Double benefits, kukata calories na uzito, wakati huo huo ni mazoezi ya kutosha yaani, maana unakuta usiku kucha au mchana kutwa au siku kadhaa mko mna enjoy lazima kitambi kiondoke ukijituma kisawa sawa
 
Sisi sex ni feelings mpaka umetunukiwa wewe ni special. Tena awe msafi maana sex na mtu amaenuka mdomo au kwapa ina turn off the mood
 
Sisi sex ni feelings mpaka umetunukiwa wewe ni special. Tena awe msafi maana sex na mtu amaenuka mdomo au kwapa ina turn off the mood

Kabisaaa, usafi makini ni first & foremost..!! Hapo ndio mood tamu ya sex itakuja..!!
 
Hata kwa mm pia iliwahi kuwork,.kwa mwaka nadhani nilikuwa nasex siku 240 na nilikuwa nakula very rough na sikuwahi kunenepa,.tofauti na sasa naweza kaa mwaka sijui dudu nadhani hii imenifanya nimegain uzito daah!!!
Mhhhh, siku 240? Ulkuwa kalafi wewe mama? Ila unaweza kurudia tena siyo mbaya! Ina maana huyo akiyekuoa hajui hayo makitu?
 
Nyie jamaniii ubwabwa na mandondo(maharage)mtamuuu ujuee hasa kiporo uuwwii na chai ya rangi yenye tangawizi,.lol
Mimi mwenyewe nmefail kuondoa kitambi kwa sababu nashindwa kuacha misosi Kama hii.
Sijazoea eti uniambie nile mchemsho tu wa viazi au nile supu ya kabichi hapo ndio inakuwa mtihani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…