"Kuna madini kwenye baadhi ya hifadhi zetu,Kule Serengeti na kwingine kuna aina za madini zimegundulika. Lakini TANAPA waligoma kabisa yasichimbwe ili kutunza uhifadhi. Lakini nataka sasa yachimbwe. Simba na tembo hawali madini."
Samia Suluhu Hassan
Rais wa Tanzania.
Raisi tunaomba uelewe hili. Usiri ndiyo tatizo kuanzia bandari, misitu hadi KIA wanaojua mkataba ni nyie tu. Sasa tutapata vipi imani na uwelezaji wa hivi?
Raisi tunaomba uelewe hili. Usirisiri ndiyo tatizo kuanzia bandari, misitu hadi KIA wanaojua mkataba ni nyie tu🤔 sasa tutapata vipi imani na “ uwelezaji” wa hivi
Yakiongezeka mashimo hifadhini tutatengeneza aina mpya ya utalii wa wanyama wanao ishi ndani ya mashimo kama fisi hasa wale adimu wa madoa doa na jamii nyingine.
Raisi tunaomba uelewe hili. Usirisiri ndiyo tatizo kuanzia bandari, misitu hadi KIA wanaojua mkataba ni nyie tu🤔 sasa tutapata vipi imani na “ uwelezaji” wa hivi