macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Elimu yetu ina waathirika wengi sana. Wewe na hao wenye mawazo kama yako mna choice moja: kufanya kazi kwa bidii, kuacha ufisadi ili tujitegemee au kuendelea kujifanya mnajua kupepeta mdomo.W nae avha mihemko ya kizuzu, unaongea mambo dhaifu sana, mzungu akuletee msaada wa lishe hali ya kuwa bado anakuita nyani? Sisi bado tupo nyuma masana, hatuwezi kubaini vitu vyenye madhara ya muda mrefu, hata huo mchele unamadhara ya muda mrefu ndio maana wamewalenga wanafunzi ili mika mitano au kumi plus ndipo mtaanza kuona madhara.
Wapuuzi wachache kama nyie ndio mnao tetea ujinga na ushoga unaoletwa na wazungu.
Umezungumzia availability tu how about accessibility..kumwelewa Author inabidi utulize kichwaHao walioomba mchele Marekani ni ombaomba tu.
Tanzania tuna chakula cha ziada mwaka huu.
Wewe umetumia teknolojia gani kubaini kwamba huo mchele una madhara miaka mitano ijayo?W nae avha mihemko ya kizuzu, unaongea mambo dhaifu sana, mzungu akuletee msaada wa lishe hali ya kuwa bado anakuita nyani? Sisi bado tupo nyuma masana, hatuwezi kubaini vitu vyenye madhara ya muda mrefu, hata huo mchele unamadhara ya muda mrefu ndio maana wamewalenga wanafunzi ili mika mitano au kumi plus ndipo mtaanza kuona madhara.
Wapuuzi wachache kama nyie ndio mnao tetea ujinga na ushoga unaoletwa na wazungu.
Author hoja yake imejikita kwenye accessibility ya hicho mnachosema kipo Cha kutosha( availability)Walete msaada mwingine lakini si kwa namna hiyo kwani chakula tunacho cha kutosha na hatujawaomba msaada wa namna hiyo.
Waziri kafanya jambo zuri kuukataa msaada huyo . Wasije wakatuchanganyia na virutubisho vya ushoga.
Ukimwelewa wewe inatosha. Mimi nimesema yangu.Umezungumzia availability tu how about accessibility..kumwelewa Author inabidi utulize kichwa
Tatizo umejibu kitu ambacho hujaelewa,ungejiridhisha kwanza kabla ya kuchukua hatua.Ukimwelewa wewe inatosha. Mimi nimesema yangu.