macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Elimu yetu ina waathirika wengi sana. Wewe na hao wenye mawazo kama yako mna choice moja: kufanya kazi kwa bidii, kuacha ufisadi ili tujitegemee au kuendelea kujifanya mnajua kupepeta mdomo.W nae avha mihemko ya kizuzu, unaongea mambo dhaifu sana, mzungu akuletee msaada wa lishe hali ya kuwa bado anakuita nyani? Sisi bado tupo nyuma masana, hatuwezi kubaini vitu vyenye madhara ya muda mrefu, hata huo mchele unamadhara ya muda mrefu ndio maana wamewalenga wanafunzi ili mika mitano au kumi plus ndipo mtaanza kuona madhara.
Wapuuzi wachache kama nyie ndio mnao tetea ujinga na ushoga unaoletwa na wazungu.