financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
We ni kabishiii,amini nakwambia mkuu🤔Hahaha sijawahi kuona aiseee maana hata wahindi/wajapenga wanaosemwa wana flat screen lakini ukiwaona wanavyo vya uchokozi sembuse wabantu????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni kabishiii,amini nakwambia mkuu🤔Hahaha sijawahi kuona aiseee maana hata wahindi/wajapenga wanaosemwa wana flat screen lakini ukiwaona wanavyo vya uchokozi sembuse wabantu????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni Dokta au msemaji wa Sepenga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wema anasemaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wema alikuwa zamani saivi kabakia skeleton ya wema inayoishi
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mke wangu ndio kwanza anahangaika kuikuza inye yake imekuwa kama buti la gari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vyovyote iwavyo ila kuliondoa lile kalio kumepotezea hata fans aisee.
Sasa hivi ni mwembamba hata akipita hapo hustuki wala hugeuki "ugeuke uangalie nini sasa"
Wapi nduruuuuuuuuuuuuh [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke vinyama nyama bwana cwez kufanya huo upuuzi
MmmmmmmmmhAah lingekuwepo sasa! Sinaga mitrakoo mimi
Ugonjwa wanguHahaha FS mbona naona lipo tu au wewe unaona dogo ilo?
View attachment 1780149
View attachment 1780150
Hivi kufanyia operation ya kupunguza unene ni ugonjwa eeh?!Hivi madaktari si wanakiapo cha kutunza siri za wagonjwa, au haya ni mazingira tofauti?
Hata mimi nashangaa, udaktari gani wa kuweka mambo ya mgonjwa hadharaniHuyu ni Dokta au msemaji wa Sepenga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabla sijaja Dar nalima mahindi Kilolo mtu akisema anatoka Dar, mawazo yangu akiamua kwenda kwa Juma Nature ni dakika mbili anaenda anaomba moto anarudi kupika kwake. Akitoka nje anakutana na Prof J, Sinta, yaani nikawa najua hawa wasanii wapo wapo tu.
Sasa uandishi huu ndio mnazidi wachanganya niliowaacha huko home. Watajua me nishaonana na uyo Wema ngoja nisubiri izo missed calls wakiniomba picha akiwa amekonda.
Haya mwenye photos aokoe jaazi.
Haya alitakiwa ayaongee wema mwenyewe na siyo daktariVipi kuhusu privacy ya mteja wao! Ameruhusu aongolewe? vipi protocol za kazi zinaruhusu pia?
Hii promo imeeleweka .tutakuja
Wengi wa wasengenyaji huwa hawanaAah lingekuwepo sasa! Sinaga mitrakoo mimi
Usiite tako tunaita kishungiHahahaa mwanamke hata akiwa mwembamba trako la uchokozi lazima liwepo.
Flat screen huwa tunasema lkn hakuna mwannamke flat screen hata akiwa mzee kabisa lzm kigabuchu kiwepoHivi mkuu unafahamu a true definition of flat screen wewe? hata la kumchokoza mtu hamna[emoji23]