Tetesi: Sababu ya Wema Sepetu kukondeana yatajwa

Tetesi: Sababu ya Wema Sepetu kukondeana yatajwa

Kabla sijaja Dar nalima mahindi Kilolo mtu akisema anatoka Dar, mawazo yangu akiamua kwenda kwa Juma Nature ni dakika mbili anaenda anaomba moto anarudi kupika kwake. Akitoka nje anakutana na Prof J, Sinta, yaani nikawa najua hawa wasanii wapo wapo tu.

Sasa uandishi huu ndio mnazidi wachanganya niliowaacha huko home. Watajua me nishaonana na uyo Wema ngoja nisubiri izo missed calls wakiniomba picha akiwa amekonda.

Haya mwenye photos aokoe jaazi.
 
Kabla sijaja Dar nalima mahindi Kilolo mtu akisema anatoka Dar, mawazo yangu akiamua kwenda kwa Juma Nature ni dakika mbili anaenda anaomba moto anarudi kupika kwake. Akitoka nje anakutana na Prof J, Sinta, yaani nikawa najua hawa wasanii wapo wapo tu.

Sasa uandishi huu ndio mnazidi wachanganya niliowaacha huko home. Watajua me nishaonana na uyo Wema ngoja nisubiri izo missed calls wakiniomba picha akiwa amekonda.

Haya mwenye photos aokoe jaazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom