Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu sio wote ni manyumbu ingekuwa mada zako zinamashiko watu wangeunga mkono hoja zako lakini kwasababu unaandika bila hoja zenye tija ndomaana upati mapokezi mazuri ya hoja zako.Mi sihitaji sapot nia yangu ni kukufikishia habari za ukweli na uhakika We kazi yako ni kupinga
Endelea kujifurahisha ,huku ukijitenya mwenyewe.Nondo nzito hizo umeshindwa kuzipangua zinagonga utosi tu.
Labda upo kwenye Jiko la kupakuliwa na akina LokoleHUJUI LOLOTE KWENYE TASNIA HII YA MUSIC, TULIO JIKONI TUMETULIA TU TUNAJUA KINACHOENDELEA
UNATAFUTA UMAARUFU KWA KUENDEKEZA CHUKI? AFU KUNA RADIO WANATAKA MTANGAZAJI UDAKU ILA AWE KIDOGO NA TABIA ZA KIKE KIKE HIVI
Mi nawajua Vizuri upande huo hamtaki kusikia Ukweli unaowauma Mna umoja wa Kupinga kusifu na kuabudu, Mi nashusha Nondo tu Ikikupata sawia vumiliaHumu sio wote ni manyumbu ingekuwa mada zako zinamashiko watu wangeunga mkono hoja zako lakini kwasababu unaandika bila hoja zenye tija ndomaana upati mapokezi mazuri ya hoja zako.
Mi sijawai pigia Msanii Promo mi uwa nashusha Ma News tu, Sema News nazoshusha we na Jamaa ako HamzipendiEndelea kujifurahisha ,huku ukijitenya mwenyewe.
Ila mwana K2ga umemtupa naona hata promo hutaki kumpa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Basi nitakuwa na kusingizia SAMAHANI,kwa jinsi inavyooneka hii thread hujapost wewe.😀😀😀😀😀Mi sijawai pigia Msanii Promo mi uwa nashusha Ma News tu, Sema News nazoshusha we na Jamaa ako Hamzipendi
Kwa hapo sijui atajiteteajeBasi nitakuwa na kusingizia SAMAHANI,kwa jinsi inavyooneka hii thread hujapost wewe.😀😀😀😀😀
View attachment 1364990
Kwaiyo ukitumwa Promo unapeleka hiyo? Hakuna kipengere Nilichosifia wala kuipamba, mi nilitoa taarifa kua kijana kaachia Ngoma Special kwa WapendanaoBasi nitakuwa na kusingizia SAMAHANI,kwa jinsi inavyooneka hii thread hujapost wewe.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 1364990
Sawa hiyo sio PROMO.Lkn mbona vijana wanatoa nyimbo wapo wengi,akina Belle 9,Beka Flevor,Mimi Mars,Mario nk ila ww umemuona K2GA.Kwaiyo ukitumwa Promo unapeleka hiyo? Hakuna kipengere Nilichosifia wala kuipamba, mi nilitoa taarifa kua kijana kaachia Ngoma Special kwa Wapendanao
Hajalipwa bali amecopy nashangaa hajatoa credit kwa mwandishi husikaKama utalipwa kwa bango hili, anayekulipa atakuwa mbumbumbu wa mwisho