Sababu za Harmonize kutoka WCB

HUJUI LOLOTE KWENYE TASNIA HII YA MUSIC, TULIO JIKONI TUMETULIA TU TUNAJUA KINACHOENDELEA
UNATAFUTA UMAARUFU KWA KUENDEKEZA CHUKI? AFU KUNA RADIO WANATAKA MTANGAZAJI UDAKU ILA AWE KIDOGO NA TABIA ZA KIKE KIKE HIVI
 
Mi sihitaji sapot nia yangu ni kukufikishia habari za ukweli na uhakika We kazi yako ni kupinga
Humu sio wote ni manyumbu ingekuwa mada zako zinamashiko watu wangeunga mkono hoja zako lakini kwasababu unaandika bila hoja zenye tija ndomaana upati mapokezi mazuri ya hoja zako.
 
kila mwanadamu anaogopa mabadiliko.
namshauri harmonize apambane na mabadiliko ya kutoka wbc na kujitegemea mwenyewe, aache kutafuta huruma za mashabiki na kubaki kupiga majungu kupitia nyimbo zake anazoziachia kila leo, content ni ile ile "majungu".
ila nampongeza kutumia fursa ya diss traki kwa simba kama njia ya kujiongezea kipato
 
HUJUI LOLOTE KWENYE TASNIA HII YA MUSIC, TULIO JIKONI TUMETULIA TU TUNAJUA KINACHOENDELEA
UNATAFUTA UMAARUFU KWA KUENDEKEZA CHUKI? AFU KUNA RADIO WANATAKA MTANGAZAJI UDAKU ILA AWE KIDOGO NA TABIA ZA KIKE KIKE HIVI
Labda upo kwenye Jiko la kupakuliwa na akina Lokole
 
Humu sio wote ni manyumbu ingekuwa mada zako zinamashiko watu wangeunga mkono hoja zako lakini kwasababu unaandika bila hoja zenye tija ndomaana upati mapokezi mazuri ya hoja zako.
Mi nawajua Vizuri upande huo hamtaki kusikia Ukweli unaowauma Mna umoja wa Kupinga kusifu na kuabudu, Mi nashusha Nondo tu Ikikupata sawia vumilia
 
Endelea kujifurahisha ,huku ukijitenya mwenyewe.

Ila mwana K2ga umemtupa naona hata promo hutaki kumpa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mi sijawai pigia Msanii Promo mi uwa nashusha Ma News tu, Sema News nazoshusha we na Jamaa ako Hamzipendi
 
Kwaiyo ukitumwa Promo unapeleka hiyo? Hakuna kipengere Nilichosifia wala kuipamba, mi nilitoa taarifa kua kijana kaachia Ngoma Special kwa Wapendanao
Sawa hiyo sio PROMO.Lkn mbona vijana wanatoa nyimbo wapo wengi,akina Belle 9,Beka Flevor,Mimi Mars,Mario nk ila ww umemuona K2GA.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hahaaha kazi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…