Sababu za kimaandiko kwanini baadhi ya waislamu wanao miliki nyumba Magomeni Na Ilala huwa hawapangishi wakiristu ( Hasa Hasa walokole)

Sababu za kimaandiko kwanini baadhi ya waislamu wanao miliki nyumba Magomeni Na Ilala huwa hawapangishi wakiristu ( Hasa Hasa walokole)

Kama waislamu wanapo lipa jiwe uungu , kazi ya kusamehe dhambi jiwe Lina fanya na sio tu kusamehe jiwe linafuta dhambi

O Abu abdur-Rahman, why do I only see you touching these two corners?" He said: "I heard Muhammad say: 'Touching them erases sins.'...Sunan an-Nasa'i 2919
'i heard Muhammad say' ...says abdur rahmaan!!!!..and you conclude,you do not even know what the Qur'an is..do you!!?
 
Nimetaja Magomeni Na Ilala kwa Sababu almost 90 percent of my extended family live there.

Awali ya yote naomba Ku declare interest.

I am a Muslim but an open minded one .

Am a kind of Muslim who can listen to Jim Reeves or Boney M bila wasiwasi wowote.

Na HII ni Kwa Sababu licha ya kusomeshwa Qur'aan Tukufu lakini nimeisoma Biblia vizuri sana , Nimeisoma Talmud vizuri sana, Nimeisoma Zohar, Vedas nakadhalika...

Back to my point. Wamiliki wengi wa nyumba katika maeneo ya Magomeni Na Ilala ambao Ni waislamu huwa hawapendelei kupangisha wakiristu..

Kwao mpangaji wanae mprefer huwa ni muislamu.

Kama akiwa ni mkristu basi awe Mkatoliki

Kamwe asiwe Mlokole au Mkiristu kutoka dhehebu lolote la kikristu ambalo Lina vinasaba vya kilokole ( Yani wanao Sali kwa kukemea kama walokole etc) mfano KKKT , ANGLICAN au lile kanisa la Wasukuma ( African Inland Church)

Kama ataamua kumpangisha Mkiristu wa madhehebu ya kilokole basi iwe Ni kwenye nyumba ya Peke yake Na ambayo Ina uzio. Yani wewe Mlokole unaweza kupangishwa nyumba Na muislamu WA Ilala au Magomeni lakini nyumba ATAKAYO kupangisha lazima Kwanza iwe Ni nyumba ya wewe Peke yake Na ambayo Ina uzio ama Fensi. ( Nyumba inayo jitegemea)


SABABU NI NINI?

Marko 12:31.
MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.


Huyu muislamu hakupangishi wewe kwenye nyumba yake ambayo Ina wapangaji wengi Kwa Sababu anakupenda.

Hataki kukukwaza ( LUKA 17: 1-4)

Kwenye nyumba yake yenye wapangaji Tano Sita Saba Na kuendelea amepangisha waislamu.


. Waislamu husikiliza Qur'aan asubuhi na usiku. Waislamu husikiliza mawaidha ya ma shekhe mbalimbali. MLOKOLE AMEANISHWA KWAMBA UISLAMU NI DINI YA MAJINI. ANAPOSIKIA HATA MTU AKIONGEA TU LUGHA YA KIARABU BASI AKILI HUTAFSIRI KWAMBA MZUNGUMZAJI WA LUGHA HUYO ANAZUNGUMZIA HABARI ZA MAJINI AMBAO KWA MUJIBU WA WALOKOLE MAJINI NI AMONG THE FALLEN ANGELS.

MLOKOLE akisikia Dua inasomwa chumba cha jirani usiku wa Tisa basi ATA Amka ataanza kukemea mapepo.

In addition to that Sisi waislamu kwetu Ni Jambo la kawaida kuchoma ubani Hasa Hasa ubani Maka ( Frank Incense) In fact Kuna hadithi Moja ya Prophet Muhammad, Peace be upon him Ina sisitiza kwamba tujitahidi nyumba ama vyumba tunavyo kaa visikose kufukizwa Kwa ubani Maka Kila siku usiku.

Hapo kwenye ubani ndio more worse Kwa Sababu Kwa typical Mlokole akisikia kuhusu ubani kitu cha Kwanza anawaza ni majini waovu n.k na Mlokole akiamka usiku aka sikia chumba cha jirani Kuna chomwa ubani, atakemea huuyo .

Yani huwa wanaona kama vile ule Moshi ikiingia kwenye pia zake basi umeingia Na Pepo ndani yake..

Most of the time Mlokole huyu ataenda kugonga kwenye chumba cha jirani huyo Na kumwambia azime Huo Moshi au atakupigia simu mwenye nyumba Ku complain kuhusu Moshi WA ubani.
Mwisho WA siku huwa wanahama Na kuacha Kodi. Yani hataki hata kurudishiwa Hela Kwa Sababu anahisi kama vile Hela Zina chuma ulete kwamba Zina majini yatakayo enda kumuibia Hela ambazo Hana.

Sasa basi Kwa kuwa huyu mwenye nyumba anayajua yote haya Na hataki kukukwaza wewe Kwa Sababu anakupenda. Anataka ukae sehemu ambayo utakuwa Na Amani, unapo enda kutafuta chumba kwake, hukujibu Hakuna nafasi..

Wakatoliki hawana shida Sana Na ubani Kwa Sababu wao ubani huchomwa Hadi kanisani kwao.

Naamini walokole miaka kadhaa ijayo NAO wataanza kuwa familiar Na ubani Kwa Sababu baadhi ya wahubiri WA kilokole wameanza kuhubiri kuhusu nguvu ya ubani Na Wana maombi maalumu Kwa ajili ya kuwafungua watu vifungo mbalimbali Kwa kutumia nguvu ya ubani( KUHANI MUSSA)

Naamini program ya KUHANI Mussa baada ya miaka.kadhaa itaondoa Hali ya unyanya paa dhidi ya ubani miongoni WA WALOKOLE Tanzania.


ON SERIOUS NOTE:

Walokole kwanini mnana unyanya paa hivyo ubani? Is it not in it Bible zawadi ya Kwanza aliyopewa Mtoto YESU Na Mamajusi baada ya kuzaliwa ilikuwa UBANI MAKA NA MANEMANE?

Kwa mujibu WA mafundisho Yeni Huu ubani ambao mna unyanyapaa Na kuuita wa mapepo Ni mti ambao umeumbwa Na YESU Mwenyewe ( JOHN 1:1-4)

Mna muudhi Mwenyezi Mungu Kwa kumpa Shetani utukufu wake ( KAZI YA UUMBAJI)

God the Almighty does not like to share his glory with anything.

Vitu vimeumbwa Na Mungu ninyi mnaviita vya Shetani, it's not fair. Can u imagine hata nikivaa Pete ya Emerald, Ruby au Dhahabu nitaambiwa nimevaa Pete ya shetani wakati hizo Ruby zimeumbwa Na Mungu mwenyewe..

Ngoja Niwa kumbushe kitu kimoja hampaswi kuwa mbumbumbu wa mbinu ZA kishetani ili asije kuwashinda

(2 Corinthians 2:11)

Lucifer is very skilled in putting what you hate in what u love as well as putting what u hate in what was useful to you.

Baadhi ya vitu ambavyo Mungu aliviumba Kwa ajili ya kumsaidia binadamu Bwana Ibilisi amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya watu kwamba Ni vya kwake yeye. Matokeo yake mna vinyanyapaa mnaacha kuvitumia vitu ambavyo kama mngevitumia vingewasaidia Sana.

Mfano Maandiko yanasema Mali,Fedha,Dhahabu Vitu vyote Ni vyake Mungu lakini shetani amefanikiwa kuwashawishi muamini vitu hivyo Ni vya kwake..

MY PREDICTION: KWA UWEPO WA WATU KAMA KUHANI MUSSA N.K MIAKA INAYO KUJA WALOKOLE WENGI WATAANZA KUONDOKANA NA ILE ROHO YA UNYANYAPAA DHIDI YA VITU VILIVYO UMBWA NA MWENYEZI MUNGU AMBAVYO SHETANI AMEFANIKIWA KUWASHAWISHI WATU WAAMINI KWAMBA NI VITU VYAKE SHETANI.

Kwa mfano miaka Kumi Na Tano iliyo pita Kuna mtu aliamini mlokole angeweza kumwaga chumvi ya upako, au mafuta ya upako kwenye duka lake?

Kuchukua mchanga nyumbani kwake kwenda kuuombea kanisani n.k?

Itafika kipindi atakuja MHUBIRI atasema Sasa Ni wakati WA kufunguliwa Kwa kutumia Dhahabu kwamba cheni ya Dhahabu au Pete ya Dhahabu inaombewa then unavaa ..

Walokole acheni kumpa Shetani umuhimu ambao Hana
Sidhani kama ni hivy ukweli ni kwamba walokole wakikemea mapepo yao yani majini yanaruka na hapo tafrani inaingia maanaYesu alikemea mapepo yatoke sasa walokole wakikemea waislam wanapata tabu sana kuna eneo jirani hapo kuliwekwa mkutano wa injili wenyewe walikuwa wanapiga dua msikitini wote chali ioikuwa tafrani si si mchezo ilibid waghairi kwanza mambo ya Yesu yaishe....
 
MTU kachoma zake ubani/udi anataka kuunguza ganja then kanakuja ka mtu Kwa Sauti ya kihaya " hivi nyinyi humu huwaga mnachomaga vinini?" They can't mind their own business
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Likud na jamaa zako ndio mnasababisha walokole wachukie ubani, kwa nini kila mnapoyaita majini LAZIMA mchome ubani, mi nimeishi Ujiji na chemchem Tabora, najua nachosema

Kila jioni wanapiga tungoma, choma ubani kuyaita majini kwa HESHIMA yamtulize kiti (muumini mwenzao), ukiona waislam wanavyo yanyenyekea hayo majini, utashangaa sana,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
walokole ni kikundi cha watu wenye fastration vichwa vyao vina wenge sana nazani kusingekua na makanisa yao haya wangesumbua sana jamii atleast wamepata sehem ya kwenda kujifungia kupunguza stress zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hangaikeni na dini za watu WEUPE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walokole wapo hivo Hata mashuleni tulikua na mwanafunzi mlokole hostel yetu yani mnatoka prepo mmechoka mnataka mlale yeye anaanza hapo atasali huyo tena kwanguvu mpaka analia ilikua shida na simu zilikua haziruhusiw japo uweke headphones basi mnabaki tu kusikiliza hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila jaman watu lol
 
Walokole ni watu wa amani sana wanafiti popote ukikosana na mlokole basi wewe ni kafiri mdogo ake shetani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanakwambia Muislam mwenzio ni ndugu yako inamaana asiye mwislam si ndugu yake?

Wakristo hawanaga hizo mambo za kupendeleana na kubagua wengine!
 
Sidhani kama ni hivy ukweli ni kwamba walokole wakikemea mapepo yao yani majini yanaruka na hapo tafrani inaingia maanaYesu alikemea mapepo yatoke sasa walokole wakikemea waislam wanapata tabu sana kuna eneo jirani hapo kuliwekwa mkutano wa injili wenyewe walikuwa wanapiga dua msikitini wote chali ioikuwa tafrani si si mchezo ilibid waghairi kwanza mambo ya Yesu yaishe....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwa mujibu wa imani yao,mtu asiyeamini katika mafundisho ya muhamad kwa maana ya Allah na mtume wake,huyo ni kafir.

sasa wewe waite waite jina lolote tofauti na waislam,utaona moto wake.
Ukifika maduka ya Farmers Centre, hakuna muajiriwa wa kikristu hata mmoja. Hebu jaribu takwimu za ajira huko Bahresa/Azam, utashangaa na roho yako. Tatizo hili limeanza kuzikumba timu za Simba na Yanga, hususan kwenye ngazi za uongozi. Kumpata mkristu ni kwa tochi. Kwa hiyo, huo ubaguzi upo si jambo la siri
 
Ukifika maduka ya Farmers Centre, hakuna muajiriwa wa kikristu hata mmoja. Hebu jaribu takwimu za ajira huko Bahresa/Azam, utashangaa na roho yako. Tatizo hili limeanza kuzikumba timu za Simba na Yanga, hususan kwenye ngazi za uongozi. Kumpata mkristu ni kwa tochi. Kwa hiyo, huo ubaguzi upo si jambo la siri
Wakristo wanafanya kazi za maofisini,, hawachezi mpira wala kupiga mziki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom