Sababu za kiroho kwanini Simba wezindulia jezi zao kwenye like cha Mlima Kilimanjaro

Mkuu Kuna vitu umetema hapa, vimenifanya nitafakari zaidi kuhusu milima. Nilialikwa majuzi kwenda kwenye ngoma, za waganga wa jadi, mlimani huku niliko, sema majukumu yalinibana, sikwenda. Hapa napata picha tofauti. Hata SHETANI alichukua YESU juu ya mlima mrefu akamuonyesha milki ya nchi yote na kumuahidi kumpa kama atamshujudia.

HAPA NAELEWA SASA, UMENITOA TONGO TONGO AISEE.
 
Kwa yanga mkuu tulishafanya hivyo mapema tu. Naomba ufanye utafiti nimekosa io picha ya jezi zetu hizi mpya hasa ya njano picha zilivuja mapema hata kabla kibegi hakijafika. Io ni siri tu nakuibia mkuu yanga wako makini sana. Ila ulichoongea ni sahh kabisa
 
Wewe si ndio mshana, ulisema msimu uliopita jezi ya yanga ilikuwa nzito na makorokoro mengi kwaiyo aitofanikiwa? Kilichofata ni nini bwana mkubwa? Na hiki unachokisema ata kama ndio ilivyo bado jezi mpya ya yanga ilifika kileleni kabla ya icho kibegi chenu akijafika pale na kama ni uchawi basi mlishawaiwa kitambo tafuteni kingine cha kufanya
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Oa skia Rudi la Saba kwanza...
Unajua maana ya sea level...hebu search Google the tallest mountain afu uone ka inakuja Kilimanjaro . Umesoma geography wewe ..unajua maana ya altitude..unajua maana ya height from sea level.. na hao watu walienda kuomba milimani coz waliambiwa Mungu yupo juu mawinguni..Sasa unapanda ndege unajua hayupo juu mawinguni unaona nani anaenda mlimani kuomba. 🤣 umeongea mengi ila hapa kwa meza 10 sijui umezingua kinoma yaani unaonyesha ulivyo na elimu ndogo sana ya jiographia kazi kuwaza majini tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamani jamani...Biblia imeandikwa na watu...Tena watu wasio na elimu...the world is Spherical(duara) huwezi simama kwenye mlima ukaona miliki zote za duniani... 🤣Ndo ujue aliyoandika hizi story ni binadamu aliyejua the earth is flat...😣hamuwezi kuwa serious jamani shule hivi mnaenda kufanya Nini au kutafuta vyeti tu hamna kitu kichwani
 
Hivi huwa unapiga cha Arusha au kuna sehemu huwa unacopy bila kuedit unakuja kupost hizi pumba JF?
 

Attachments

  • FB_IMG_1689446885465.jpg
    34.8 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1689446878460.jpg
    76.3 KB · Views: 6
Haya ni madhara ya kuanza Chuo kabla ya primary school.
 
Dah,chezeni mpira watanzania
 
You kill it all
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…