Sababu za kiroho kwanini Simba wezindulia jezi zao kwenye like cha Mlima Kilimanjaro

Matambiko ya milimani is something else hapana chezea kabisa mkuu
 
Alhamdulilahi... Iwe tu walifanya kwa ajili ya msimu huu
 
Pia lile sanduku la ahadi (lile la wana waisrael) lipo hapo mlimani .kuna kipindi usiku huonekana watu wenye sura za ukali wakiwa wamevaa kanzu nyeupe na mpishi wa kama dhahabu.ila weupe wao sio wa binadamu wako kama weupe wa karatasi.waliowahi waona ni vipofu na wapo wengi na muonekano hutajwa huohuo kwa wote
 
Hizi iman hizi
 
Hahahahaha...Wamepeleka kombe la ubingwa huko
 
Wewe ulipeleka jezi sasa kuna mwamba amepeleka ndoo ukipenda liite kombe, sio mbaya na wewe peleka ngao ya jamii maana nalo ni kombe pia
 
Sema wuf wuff bobi
 
100% correct
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…