Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Sitoelezea Sana kuhusu swala la msalaba siku ya Leo .
Ila Msalaba huwa unabeba nguvu ya kufatwa .
Hivyo haijalishi ni muislamu au Christian KIROHO unashauriwa kuvaa msalaba. Ili kuvuta watu
Msalaba huwa unatangulia na watu wanafata nyuma.
Ntarudi kuendelea ....
Ila Msalaba huwa unabeba nguvu ya kufatwa .
Hivyo haijalishi ni muislamu au Christian KIROHO unashauriwa kuvaa msalaba. Ili kuvuta watu
Msalaba huwa unatangulia na watu wanafata nyuma.
Ntarudi kuendelea ....