Sababu za kiroho kwanini uvae msalaba ?

Sababu za kiroho kwanini uvae msalaba ?

Sitoelezea Sana kuhusu swala la msalaba siku ya Leo .

Ila Msalaba huwa unabeba nguvu ya kufatwa .

Hivyo haijalishi ni muislamu au Christian KIROHO unashauriwa kuvaa msalaba. Ili kuvuta watu

Msalaba huwa unatangulia na watu wanafata nyuma.

Ntarudi kuendelea ....
Msalaba ni Ishara ya Ushindi kwa WAKRISTO WOTE

Ushindi wetu wakristo ulipatikana MSALABANI

Wasababto kwakuwa hawauamini Msalaba basi sio Wafuasi wa KRISTO
 
Screenshot_20241215-193800_Chrome.jpg

Yesu hakufa kwenye msalaba kama watu wanadanganywa alikufa kwenye juu ya nguzo.

Kuna tofauti kati ya cross na stake
 
Wanakuwaje wapo halafu hawaonekani?? mfano labda umepanda bus alafu jirani yako kwenye seat akakuambia unajua hapa nimekaa juu ya boda boda, wewe ukitizama huoni hiyo boda boda unaona seat ya kawaida, hapo huwezi ukaona huyo jirani yako labda anaweza kuwa na dalili za ukichaa??
Usichanganye, hapa tunazungumza mambo au matukio yako wewe na siyo ya mtu mwingine. Huyo anayekuambia yuko kwenye bodaboda ni yeye ndiye anaona hivyo. Kama ni muumini wa dini au madhehebu yoyote yale maandiko yanathibitisha kuwa nguvu za giza (uchawi, ushirikina, uwanga, n.k.) zipo, je wewe unaishi vipi ili kuzishinda? Kwa maana zipo kazini kila wakati na kwa kibali cha Mungu kwa Ibilisi!
 
Back
Top Bottom