Msalaba ni Ishara ya Ushindi kwa WAKRISTO WOTESitoelezea Sana kuhusu swala la msalaba siku ya Leo .
Ila Msalaba huwa unabeba nguvu ya kufatwa .
Hivyo haijalishi ni muislamu au Christian KIROHO unashauriwa kuvaa msalaba. Ili kuvuta watu
Msalaba huwa unatangulia na watu wanafata nyuma.
Ntarudi kuendelea ....
Biblia yenyewe inasema kama vyote alivyofanya Yesu vingeandikwa hakuna kitabu kingebebaYesu mwenyewe na wanafunzi wake hawakuvaa msalaba!Sijui limeandikwa wapi tuvae misalaba!
Usichanganye, hapa tunazungumza mambo au matukio yako wewe na siyo ya mtu mwingine. Huyo anayekuambia yuko kwenye bodaboda ni yeye ndiye anaona hivyo. Kama ni muumini wa dini au madhehebu yoyote yale maandiko yanathibitisha kuwa nguvu za giza (uchawi, ushirikina, uwanga, n.k.) zipo, je wewe unaishi vipi ili kuzishinda? Kwa maana zipo kazini kila wakati na kwa kibali cha Mungu kwa Ibilisi!Wanakuwaje wapo halafu hawaonekani?? mfano labda umepanda bus alafu jirani yako kwenye seat akakuambia unajua hapa nimekaa juu ya boda boda, wewe ukitizama huoni hiyo boda boda unaona seat ya kawaida, hapo huwezi ukaona huyo jirani yako labda anaweza kuwa na dalili za ukichaa??