Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
 
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Umekuwa challenged mkuu umenywea [emoji16][emoji16][emoji16]

Hapo sioni tatizo kama binti yuko humble. Labda kama pia ana kiherehere. Kuna mabinti wanajua mambo mengi sana lakini pia wanajua mipaka yao na wana kiasi sana. Wanaheshimu maoni ya wengine pia. Na mimi binti akijua mambo mengi ndiyo hasaa sifa mama kwangu. Hata humu JF wapo japo huwezi kujua mpaka umzoee....

20200418_115901.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] corona mbona haijui aisse nimecheka mpk basi kumbukeni dar kuvaa mask.k
Jumatatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekuwa challenged mkuu umenywea [emoji16][emoji16][emoji16]

Hapo sioni tatizo kama binti yuko humble. Labda kama pia ana kiherehere. Kuna mabinti wanajua mambo mengi sana lakini pia wanajua mipaka yao na wana kiasi sana. Wanaheshimu maoni ya wengine pia. Na mimi binti akijua mambo mengi ndiyo hasaa sifa mama kwangu. Hata humu JF wapo japo huwezi kujua mpaka umzoee....

View attachment 1422744
Point Mkuu
Na kweli kujua mengi sio tatizo
Tatizo ni namna gani unawasilisha ujuaji wako.,

Na kama kweli unajua sana basi unapaswa kujua ni vyema kuwa humble hata kama unajua mengi,.
 
Back
Top Bottom