Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Duh.
Nami nimejua leo. Kumbe styles P ni msauzi. Ngoja nijiridhishe google.
 
Hapana mkuu, kuna mmoja namfahamu ni lawyer pia same age kama anayemzungumzia mleta mada, anajua karibia kila jambo na atakukosoa.

Sijakataa, lakini kuna vitu ambavyo havina reference official hawezi kuwa anavifahamu kwa usahihi uliotajwa.

Nazumgumzia mfano wa wachezaji wa timu zetu bongo, hakuna records sahihi, wala kazi zao hutaziona YouTube, hao hakuna namna atakuwa anawajua kwa usahihi huo.
 
Duh.
Nami nimejua leo. Kumbe styles P ni msauzi. Ngoja nijiridhishe google.
Duh.
Baba mjamaika na mama msauzi. Ila kazaliwa quuens, new york!
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Duh.
Nami nimejua leo. Kumbe styles P ni msauzi. Ngoja nijiridhishe google.
Duh.
Baba mjamaika na mama msauzi. Ila kazaliwa quuens, new york!
Huyo dada hatari.
 
Duh!...huyo ni google mkuu, huyo waachie google wenzake.
 
Duh.
Nami nimejua leo. Kumbe styles P ni msauzi. Ngoja nijiridhishe google.

Mama ake.ndio Msauzi . Ila yeye kazaliwa New York. He is one of the most illest MCs of all the time
 
Sijakataa, lakini kuna vitu ambavyo havina reference official hawezi kuwa anavifahamu kwa usahihi uliotajwa.

Nazumgumzia mfano wa wachezaji wa timu zetu bongo, hakuna records sahihi, wala kazi zao hutaziona YouTube, hao hakuna namna atakuwa anawajua kwa usahihi huo.
Nadhani mengine Kwa Kaka zake
 
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Ndiyo maana anaitwa "Msomi"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Demu wako anajua hadi chanjo ya corona itapatikana lini
 
Nope that is not sexy to me.
Teh teh teh 😃😃😃 bora umechukua hatua mapema maana huko mbeleni kuna muda inabidi udanganye/uongope kiaina.

Sasa kwa huyo itakuwa shughuli maana kuumbuka kupo nje nje 😃😃😃😃.
 
Nawapenda sana wanawake ambao wapo vizur upstairs, yaan manz kwenye siasa yupo, michezo yupo, mapenz yupo, uchumi yupo n.k nikikaa na manz kama huyo hua naenjoy sana na hanichoshi..

Kuna manz wa kitaa nlishawah mpga chini kwasababu ilikua kila nikiwa nae hana stori za maana zaidi ya udaku tu mara Diamond kafanya hv mara cjui Wolper anatoka na flani cjui nn dah nikaona huyu hanifai hata kidg.. Na mpk leo sijawah kumwambia kwann nlimpiga chini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekuwa challenged mkuu umenywea [emoji16][emoji16][emoji16]

Hapo sioni tatizo kama binti yuko humble. Labda kama pia ana kiherehere. Kuna mabinti wanajua mambo mengi sana lakini pia wanajua mipaka yao na wana kiasi sana. Wanaheshimu maoni ya wengine pia. Na mimi binti akijua mambo mengi ndiyo hasaa sifa mama kwangu. Hata humu JF wapo japo huwezi kujua mpaka umzoee....

View attachment 1422744
Nope nimefikiri kuhusu maisha' ya watoto wetu yatakuwaje.

Uzoefu unaonyesha much knows wengi huwa wanachukiwa Sana katika Jamii. Chuki hongezeka zaidi pale much know huyo anapokuwa Mwanamke . Chuki ya jamii inaweza ku extend Hadi Kwa watoto.

Nimenote kitu kimoja, there is a very thin line between a muchknow and a pride person.

Ukiwa muchknow kupita kiasi people will put you in the space as a too proud.

And if people think U got pride, they will never like you.

Kwa umuch know wa.mdada huyu manesi wanaweza msusia labour room.

The rule is " Humble urself and u will be lifted up, if u do the opposite, the opposite will befall upon you"
 
Back
Top Bottom