Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Ni mwanaume huyo..Bro tena Vinchii umekula bangi leo?🙆🏼♀️🙆🏼♀️
Previous alikua ana id inaitwa Padri mcharo nyingine Chief Engineer.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanaume huyo..Bro tena Vinchii umekula bangi leo?🙆🏼♀️🙆🏼♀️
Eti alikua ananisagia meno hatari.Hivi kuna watu hununa kisa kupata likes..? It's AwkwardOk, maana nikastuka sana nikasema kwisha habari ya kijana, mimi najua ni post yake ile ya apology, ile comment yako na hivi ilipata likes nyingi, alikuwa anakusagia meno hatari😃😃
Kumbe ndiyo maana kuna mtu alisema huyu hawezi apologize vile
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mtu unaangalia nae movie za kutisha mwanzo mwisho kakodoa tu macho. Hata haogopi na kujificha mgongoni kwako.
Amen mkuuSi mbaya akijua kila kitu hapa duniani hata akiweza ajue na vilivyopo kwenye sayari nyingine,bado nitajivunia kuwa nae...
Ila tu awe msikivu na mnyenyekevu mwenye hekima anapozungumza ama pale anaponirekebisha..
Na ajue wapi pa kuongea na wapi akae kimya!!Awe na staha katika mazungumzo, akiwa na sifa hzi nitazidi kujivunia tofauti na hapo nitamuona mjuaji tu anayependa mashindano!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya sana sifa zote ulizozi taja watu wa aina hii hawana. Kwanza hakupi muda kumaliza unacho ongea atakukatiza akurekebishe kwanza.Si mbaya akijua kila kitu hapa duniani hata akiweza ajue na vilivyopo kwenye sayari nyingine,bado nitajivunia kuwa nae...
Ila tu awe msikivu na mnyenyekevu mwenye hekima anapozungumza ama pale anaponirekebisha..
Na ajue wapi pa kuongea na wapi akae kimya!!Awe na staha katika mazungumzo, akiwa na sifa hzi nitazidi kujivunia tofauti na hapo nitamuona mjuaji tu anayependa mashindano!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama Debora siku unaitekeleza hii agenda yako ya siri nitag, angalau niwe wakili.
Huyo pimbi 'Davincia Bunyenye' anajifanya mjanja kunitambia hapa jukwaani na kunikebehi wakati naandamwa shutuma za uongo.
Ngoja, gego kwa gego inayokuja.
Na kuna wale ambao wanajua vitu lakini akijua mtu wake si mjuzi kama yeye huwa na busara kwenye kuelezaBahati mbaya sana sifa zote ulizozi taja watu wa aina hii hawana. Kwanza hakupi muda kumaliza unacho ongea atakukatiza akurekebishe kwanza.
Nampenda huyu hapa chini..Mfate pm usipoteze wakati, wewe mwanamme hutakiwi kumuogopa mwanamke hata awe namna gani.
[emoji23][emoji23][emoji23]huyo mshakaji wangu sio demu, bora ulivyomtema.
Huyo pimbi 'Davincia Bunyenye' anajifanya mjanja kunitambia hapa jukwaani na kunikebehi wakati naandamwa shutuma za uongo.
Ngoja, gego kwa gego inayokuja.
Umekuwa challenged mkuu umenywea [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo sioni tatizo kama binti yuko humble. Labda kama pia ana kiherehere. Kuna mabinti wanajua mambo mengi sana lakini pia wanajua mipaka yao na wana kiasi sana. Wanaheshimu maoni ya wengine pia. Na mimi binti akijua mambo mengi ndiyo hasaa sifa mama kwangu. Hata humu JF wapo japo huwezi kujua mpaka umzoee....
View attachment 1422744
Umekuwa challenged mkuu umenywea [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo sioni tatizo kama binti yuko humble. Labda kama pia ana kiherehere. Kuna mabinti wanajua mambo mengi sana lakini pia wanajua mipaka yao na wana kiasi sana. Wanaheshimu maoni ya wengine pia. Na mimi binti akijua mambo mengi ndiyo hasaa sifa mama kwangu. Hata humu JF wapo japo huwezi kujua mpaka umzoee....
View attachment 1422744
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Point Mkuu
Na kweli kujua mengi sio tatizo
Tatizo ni namna gani unawasilisha ujuaji wako.,
Na kama kweli unajua sana basi unapaswa kujua ni vyema kuwa humble hata kama unajua mengi,.