kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kumla bata usimchunguze sanaDemu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Ndio ipoje hiyo bossDuh.
Nami nimejua leo. Kumbe styles P ni msauzi. Ngoja nijiridhishe google.
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Dah umeanzisha vita na gentacymineNope that is not sexy to me.Huyo demu anatakiwa kuwa na MTU kama Pascal Mayalla au Kiranga a.k.a Nyani Ngabu ndio at least wanaweza kuendana.
Akikutana na Kilazaa kama GENTAMYCINE there will be no hope for the future.
Demu yupo very smart na anajua vitu vingi hatari. Kama ni member WA Jf basi ye FaizaFoxy
Hata Mimi nawapenda sanaNawapenda sana wanawake ambao wapo vizur upstairs, yaan manz kwenye siasa yupo, michezo yupo, mapenz yupo, uchumi yupo n.k nikikaa na manz kama huyo hua naenjoy sana na hanichoshi..
Kuna manz wa kitaa nlishawah mpga chini kwasababu ilikua kila nikiwa nae hana stori za maana zaidi ya udaku tu mara Diamond kafanya hv mara cjui Wolper anatoka na flani cjui nn dah nikaona huyu hanifai hata kidg.. Na mpk leo sijawah kumwambia kwann nlimpiga chini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Kwa kweli acha waigiziwe tu maana ndicho wanachotaka hicho !![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
And that’s why we pretend not to know a lot! Ili mutuwowe!!
Sawa BossNi relative term, usishangae.
Sawa Boss
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Haya sapiosexual.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ulinitisha na chuki zako dhidi ya mafurushi furushi miye mpaka nikaogopa. Huwezi jua sasa hivi si ajabu hata ufurushi wote ungekuwa ushaniisha nimerudi kwenye mstari....
Nakulaumu !!!
Pengine hajui moto wa POPOMA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Dah umeanzisha vita na gentacymine
Sent using Jamii Forums mobile app
A yu siriazi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Its never too late dear.