Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

Ayoub Sads

Member
Joined
Sep 30, 2022
Posts
12
Reaction score
8
Wanachama wenzangu habari yenu, niko jambo linanitatiza hivyo nikapendelea nililete kwenu kwasababu hii ni kawaida na ndio dhumuni ya mtandao huu (JF), kushauriana pamoja kupeana hamasa katika maisha yetu ya kila siku. Hivyo sikujihisi mpweke nikawa na imani kwamba hili tatizo langu nawezq kupata ufumbuzi moja kwa moja kutoka hapa jf..

Nimedhamira kubalidi baadhi ya tabia ambazo ni mbovu kwangu lakini inaniwia ugumu sana, kadri ninavyojisema kesho napiga hatua lakini sitoki hapo kwa maan kwamba narudia kosa. Sasa naona nashindwa na nikwasababu kwa namna hii nimeishii kwa muda mrefu sana, nifanye nini ili niweze kusimama imara juu ya hili..
 
Wanachama wenzangu habari yenu, niko jambo linanitatiza hivyo nikapendelea nililete kwenu kwasababu hii ni kawaida na ndio dhumuni ya mtandao huu ( JF ), kushauriana pamoja kupeana hamasa katika maisha yetu ya kila siku.. Hivyo sikujihisi mpweke nikawa na imani kwamba hili tatizo langu nawezq kupata ufumbuzi moja kwa moja kutoka hapa jf..

Nimedhamira kubalidi baadhi ya tabia ambazo ni mbovu kwangu lakini inaniwia ugumu sana, kadri ninavyojisema kesho napiga hatua lakini sitoki hapo kwa maan kwamba narudia kosa. Sasa naona nashindwa na nikwasababu kwa namna hii nimeishii kwa muda mrefu sana, nifanye nini ili niweze kusimama imara juu ya hili..
Uwe unaamini au la, unapaswa kutoka kwenye hali hiyo sio kwa bidii yako binafsi tu bali kwa bidii ya maombi na sala pia. Fanya maombi ndugu kwani kuna mambo ya kiroho pia katika dunia hii.
 
Kama tabia gani mkuu ili iwe rahisi kukushauri, maana umeiweka in general sana we sema
Mfano mlevi, mwizi, malaya, mchoyo, mchawi
 
Wanachama wenzangu habari yenu, niko jambo linanitatiza hivyo nikapendelea nililete kwenu kwasababu hii ni kawaida na ndio dhumuni ya mtandao huu (JF), kushauriana pamoja kupeana hamasa katika maisha yetu ya kila siku. Hivyo sikujihisi mpweke nikawa na imani kwamba hili tatizo langu nawezq kupata ufumbuzi moja kwa moja kutoka hapa jf..

Nimedhamira kubalidi baadhi ya tabia ambazo ni mbovu kwangu lakini inaniwia ugumu sana, kadri ninavyojisema kesho napiga hatua lakini sitoki hapo kwa maan kwamba narudia kosa. Sasa naona nashindwa na nikwasababu kwa namna hii nimeishii kwa muda mrefu sana, nifanye nini ili niweze kusimama imara juu ya hili..
Tabia gani sasa? Au zakupiga punyeto mkuu? Anyway, jikeep busy na mambo ya msingi itasaidia.
 
Kama tabia gani mkuu ili iwe rahisi kukushauri, maana umeiweka in general sana we sema
Mfano mlevi, mwizi, malaya, mchoyo, mchawi
Kitu cha uasi si vema kukielezea in public kwasababu itakuwa naweka ushuhuda. Kwahivyo mkuu nishauri namna ya kuacha tabia mbovu zenye kuitokomeza nafsi kwenye kiza kinene
 
Wanachama wenzangu habari yenu, niko jambo linanitatiza hivyo nikapendelea nililete kwenu kwasababu hii ni kawaida na ndio dhumuni ya mtandao huu (JF), kushauriana pamoja kupeana hamasa katika maisha yetu ya kila siku. Hivyo sikujihisi mpweke nikawa na imani kwamba hili tatizo langu nawezq kupata ufumbuzi moja kwa moja kutoka hapa jf..

Nimedhamira kubalidi baadhi ya tabia ambazo ni mbovu kwangu lakini inaniwia ugumu sana, kadri ninavyojisema kesho napiga hatua lakini sitoki hapo kwa maan kwamba narudia kosa. Sasa naona nashindwa na nikwasababu kwa namna hii nimeishii kwa muda mrefu sana, nifanye nini ili niweze kusimama imara juu ya hili..
Tabia gani?
 
Mkuu ukiona umelitambua tatizo lako ni ishara kuwa your inner being is active....ni jambo la kumshukuru Mungu sana kuna wengine wanajiona sawa tu hata wakiambiwa wanachukia kabisa.
Trust me hiyo tabia umeshashinda Mkuu
 
Ingawa hujasema ni tatizo gani hasa,,lakini kikubwa tambua kwamba tabia ambayo umekuwa nayo miaka mingi, haiwezi kuondoka mara moja tu,bali itakuchukua mda kodogo.

Kwahiyo kwanza ukilitambua hilo itakuwa vizuri sana,uwe na subira wakati unapambana na hali hiyo

Pili wanasema ukitaka kuacha sigara mathalani,usiseme nataka kuacha kuvuta sigara kuanzia sasa,bali sema sitavuta sigara leo,kwahiyo unatoka katika lengo kubwa na kuja katika lengo dogo ambalo linatekelezeka

Kwahiyo haijalishi unapambana na shida ipi,anza kudili nayo kidogo kidogo,kwa kila hatua ndogo utakayo fikia itakupa moyo wa kusogea ngazi nyingine pia,mwisho wa siku utafanikiwa
 
Back
Top Bottom