Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

Wanachama wenzangu habari yenu, niko jambo linanitatiza hivyo nikapendelea nililete kwenu kwasababu hii ni kawaida na ndio dhumuni ya mtandao huu (JF), kushauriana pamoja kupeana hamasa katika maisha yetu ya kila siku. Hivyo sikujihisi mpweke nikawa na imani kwamba hili tatizo langu nawezq kupata ufumbuzi moja kwa moja kutoka hapa jf..

Nimedhamira kubalidi baadhi ya tabia ambazo ni mbovu kwangu lakini inaniwia ugumu sana, kadri ninavyojisema kesho napiga hatua lakini sitoki hapo kwa maan kwamba narudia kosa. Sasa naona nashindwa na nikwasababu kwa namna hii nimeishii kwa muda mrefu sana, nifanye nini ili niweze kusimama imara juu ya hili..
Mpaka hapo umeshakosa sifa ya uanaume.

Sifa kuu ya mwanaume ni misimamo isiyoyumbishwa , tukiamua jambo tumeamua.
 
laugh.png
 



 
Wanachama wenzangu habari yenu, niko jambo linanitatiza hivyo nikapendelea nililete kwenu kwasababu hii ni kawaida na ndio dhumuni ya mtandao huu (JF), kushauriana pamoja kupeana hamasa katika maisha yetu ya kila siku. Hivyo sikujihisi mpweke nikawa na imani kwamba hili tatizo langu nawezq kupata ufumbuzi moja kwa moja kutoka hapa jf..

Nimedhamira kubalidi baadhi ya tabia ambazo ni mbovu kwangu lakini inaniwia ugumu sana, kadri ninavyojisema kesho napiga hatua lakini sitoki hapo kwa maan kwamba narudia kosa. Sasa naona nashindwa na nikwasababu kwa namna hii nimeishii kwa muda mrefu sana, nifanye nini ili niweze kusimama imara juu ya hili..
Tuambie tujue ni nini hasa cha kutatiza
 
Kitu cha uasi si vema kukielezea in public kwasababu itakuwa naweka ushuhuda. Kwahivyo mkuu nishauri namna ya kuacha tabia mbovu zenye kuitokomeza nafsi kwenye kiza kinene
Sasa hapo ni ngumu ndugu huo uovu unaufanya mda gan
 
Pole sana,,Cha kukushauri kidogo ni jitahidi ulizike na ulichonacho usijilinganishe na marafiki zako ukajiona wewe upo slow kiutafutaji ,,
Madeni yaepuke,,weka vitu vyako Siri,, omba Mungu Kwa Imani yako Mambo yatakaa sawa
 



Ayoub Sads hii imeweza kukusaidia ?
 
Back
Top Bottom