Huu ni ufisadi mpya,hata ya 4m4 mwaka huu watapelekewa wazi,wanasema kiwango cha ufaulu kimepanda,swali kwa nini wasiweke hadharani kama kweli yamepanda,kuingiza siasa kwenye elimu tatizo.mlugo anakazi yakuwatafuta waliosambaza hutuba yake ya south na walimu wanaotumiana sms kuhamasisha makunji