Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 182
Wakuu naomba msaada wenu siku za karibuni nimeandamwa na janga la usingizi mwingi usioisha yaani hata kama nikilala mchana lakini ifikapo saa 2 usiku naandamwa na usingizi hata siwezi kujizuia ukizingatia mimi ni mwanafunzi wa chuo hivyo nashindwa kusoma kabisa. Naombeni mnisaidie kama ni ugonjwa nijue pia matibabu yake ili hali hii iweze kuisha!
Kama ni mwanamke check mimba huenda una ujauzito.Naombeni msaada wakuu kwa anaejua
.Naombeni msaada wakuu kwa anaejua
.
je una dalili hizi?????
1. Kuwa na huzuni iliyopitiliza
2.kushindwa kufurahia kazi na mambo yaliyokupa raha hapo awali mfano tendo la ndoa
3 kukosa hamu ya kula au kula na kulala sana (usingizi kupita kiasi)
4.hali ya kukata tamaa na kujiona mwenye hatia (guity) au kujiona mtu wa kushindwa (a failure)
5.kuwa na hofu na hata kichefuchefu
6. Kuchoka mwili; maumivu ya kichwa na viungo
7. Mawazo ya kukata tamaa
8. Kukosa utulivu na kushindwa kufanya maamuzi hata madogo
Vip ukimka unajisikiaje viungo vya mwili??? Je vinakuwa vinauma??
Kama unatimia kilevi chochote acha.
Ndiyo mkuu!
Ni kweli mkuu dalili hizo ninazo hivyo naomba unisaidie nifanyaje?