Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 182
Wakuu naomba msaada wenu siku za karibuni nimeandamwa na janga la usingizi mwingi usioisha yaani hata kama nikilala mchana lakini ifikapo saa 2 usiku naandamwa na usingizi hata siwezi kujizuia ukizingatia mimi ni mwanafunzi wa chuo hivyo nashindwa kusoma kabisa. Naombeni mnisaidie kama ni ugonjwa nijue pia matibabu yake ili hali hii iweze kuisha!