Sababu za kwa nini CCM itaanguka kwenye uchaguzi wa 2025

TIaaatlaaaah &Co wala hawatakuelewa,itabidi wapigiwe matarumbeta masikioni ili akusikie🤭
 
Wilaya ya kiteto ,simanjiro, pangani,lushoto, chura kizowi hajawahi kufika.
Wananchi hawamjui hata Kwa sura
 
Huu upinzani kuiangusha ccm ni sawa na mende kuangusha kabati
Hatuna upinzani wa kukiondoa chama cha mafisadi madarakani
Siku Gen Z wa Tanzania wakiamka wanaiondoa CCM na hizi saccos zinazojiita vyama vya upinzani.
 
Sio busara kujihukumu namna hiyo, kujikatia tamaa ni dhambi isiyosameheka mbinguni.
haya yanayofaywa na akina samia and Co. Ltd, unaweza kumfanyia maiti na si mtu hai! Atuuza tunaona, tena kwa waarabu ambao ana unasaba nao...KWAO ZANZIBAR HAPAGUZI, TUnanyamaza halafu useme sisi tu watu wanaoishi? hapana, sisi ni maiti tu
 
Hizi ni sababu za Samia kutokuwa mgombea urais kupitia ccm 2025.

Na siyo sababu za ccm kushindwa uchaguzi 2025.
 
Unajifurahisha, ccm ya kushindwa ilikuwa ile ya mwendazake.
 
Hizi ni sababu za Samia kutokuwa mgombea urais kupitia ccm 2025.

Na siyo sababu za ccm kushindwa uchaguzi 2025.
Inawezekana vipi hasigombee angali kuna pikipiki zake na mabango nchi nzima kumtangaza yeye tu?
 
Kama uchaguzi ukifanyika ,Mungu ameifuta ccm kitambo kitawala ,sio jambo geni ,Mungu yupo kazin na anatenda
 
Nina wasiwasi na uwezo wa wana ccm tulio wapa kuongoza na kutawala nchi
 

Attachments

  • IMG-20240629-WA0030.jpg
    81.6 KB · Views: 2
Huyu MamaSamia2025 hamna kitu kabisa. Ameuza nchi kwa waarabu wenzake wa DP world na bado anamalizia kuuza kipande kilichobali kwa mabeberu. Sijawahi kuona rais wa ovyo kama huyu tangu nizaliwe.
 
Kuna issue ya Kikokotoo na Kodi zisizolipika bila kusahau ubabe wa TRA na Rushwa kila mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…