Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Kadoda11 naomba muheshim Kiranga mtu asiye amin uwepo wa mungu..... 😛 😛 😛hawezi kuingia anga zangu hata ukimtag. ananikwepa kama vile kahaba anavyomkwepa mwanaume asiye na uwezo wa kumlipa pesa yake baada ya tendo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna tofauti kubwa kati ya kukremu na kuelewa somo. Usipoelewa lazima ukremu, ukielewa haina haja ya kukremu maana ni kusahau si rahis.
kilaza yule....Kadoda11 naomba muheshim Kiranga mtu asiye amin uwepo wa mungu..... [emoji14] [emoji14] 😛
Leo mafahali wawili wamekutana Kiranga Humble African referee ngoja nimpe Nyani NgabuNakuona unatafuta huruma ya hadhira.... Ahahaha!! Yaani wewe unavyo mmock God Leo ulidhani wote tunaenjoy lakini mbona tunakaaga kimya na kukuacha umalizane nae Leo Mimi kummock mtani wangu wewe imekuuma sana? Acha unafiki asiempenda Mungu asie muona hawezi kumpenda anaemuona.
Go home kiranga you are drunk.
Ah ah ah ah Kadoda11 huu ni usiku mambo ya kucheka kwa saut sio mazur kabisa ndugu yangukilaza yule....
@Kirangahawezi kuingia anga zangu hata ukimtag. ananikwepa kama vile kahaba anavyomkwepa mwanaume asiye na uwezo wa kumlipa pesa yake baada ya tendo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzee wa Cundulaligates and Kagonokasibility..! Ana fiksi kama enzi za Mulugo alivyokariri Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe. Ahahaha!! Fiksi tupu.kuna watu kwa kuandika kwake vile wanamuona ni bonge la genius.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
jizee kilaza lile....linajiona linajuwa na bombastic english yake ambayo hata british royal family ndani ya hekalu la buckingham palace hawaitumii.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...Mziki wako wanaujua Wakenya kule Kenya forum..huwa unazaa nao kama morani na akina mama yoyooo... Akikusumbua sana nakuja tunakuwa tag team!hawezi kuingia anga zangu hata ukimtag. ananikwepa kama vile kahaba anavyomkwepa mwanaume asiye na uwezo wa kumlipa pesa yake baada ya tendo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee wa Cundulaligates and Kagonokasibility..! Ana fiksi kama enzi za Mulugo alivyokariri Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe. Ahahaha!! Fiksi tupu.
Shot fired!
Humble African noted hii ipo siku hayo maneno nitakuja kutumia katika uzi utakao ufungua siku zijazo 😛 😛Mzee wa Cundulaligates and Kagonokasibility..! Ana fiksi kama enzi za Mulugo alivyokariri Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe. Ahahaha!! Fiksi tupu.
Shot fired!
Kakoda11 tafadhari kadodajizee kilaza lile....linajiona linajuwa na bombastic english yake ambayo hata british royal family ndani ya hekalu la buckingham palace hawaitumii.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimewasiliana kiranga ameniambia nisubir amalize faru john yake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...Mziki wako wanaujua Wakenya kule Kenya forum..huwa unazaa nao kama morani na akina mama yoyooo... Akikusumbua sana nakuja tunakuwa tag team!
Two is better than one!
hana uwezo wa kuni face mimi directly.
I'm loving your confidence bru! I feel so gud.hana uwezo wa kuni face mimi directly.
labda apitie mlango wa uani(anijibu kwa kupitia post ya mtu mwingine).
Kadoda11 ya kwer haya jaman.... Akija hapa usije kukimbia mzee baba....hana uwezo wa kuni face mimi directly.
labda apitie mlango wa uani(anijibu kwa kupitia post ya mtu mwingine).