Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

Nilipoiona ile post nikajawa na hasira sana kuna kijana akanisogelea akaniambia humble kuna panga mbili hapa...ghafla fan wangu FRESHMAN akamkata sikio...nikamwonea huruma nikalirudisha sikio lake.

Nikasikia tena anajiita mfalme wa ma engineer!? Nikasema mfalme? Ngoja nikamwanzishie Uzi? Ndio nikaanzisha huu Uzi....[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Best kama vipi kuwa promota utuandalie mpambano official kwenye Uzi tofauti na huu wenye kichwa cha habari ....HUMBLE AFRICAN VS CCNP ENGINEER RELOADED.

Nitashukuru sana kushiriki hilo pambano.
Ahahahahahaha Humble unafaa uwe mwanasiasa kabisa

Hup mpambano nitashiriki
 
Ah ah ah ah ah sasa kunishtak kwa amu ndio kigezo cha ww kupata iyo vocha....

Nakesho nakuja Morena kuchukua silver yangu muoneee vileeeee
Niko zangu kwa mganga utakuta hewaaaa
20180731_170431.jpg
 
Back
Top Bottom