Sababu za msingi zinazopelekea 'afande' wa ulawiti asikamatwe ni hizi?

Sababu za msingi zinazopelekea 'afande' wa ulawiti asikamatwe ni hizi?

Kama hakuwatuma je? Waliamua kumfurahisha baada ya kupata fununu kuwa binti anatembea na mme wake? Mimi siyo mwana sheria ila hapo inaonekana ngumu kumtia hatiani
Hakuna ushahidi wa kutosha hapo mfano ...maongezi yao yalikuwa wapi , nani shahidi? Transactions je?
In short hao wamejimaliza wao wenyewe
Sijasema ametiwa hatiani, nimesema afikishwe Mahakamani huko ndiyo Mahakama itamnusuru kwa kukosa ushahidi au itamtia hatiani kwa ushahidi usiotia shaka.
 
Kwenye hiyo kesi ya Zombe kuna kitu umenikumbusha. Kuna askari mmoja alikuwa anaitwa Koplo Sadi, huyu inasemekana alishiriki kwenye kuwashoot wale wafanyabiashara wa madini.

Wakati kesi ilipoanza kuunguruma huyu askari alikuwa akionekana maaneo ya Tazara mida ya usiku tu, mchana alikuwa akijificha.

Baada ya mahakama kumwachia Zombe huru na kusema muuaji hayupo mahakamani atafutwe ili afikishwe mahakamani.

Baada ya statement hiyo ya mahakama yule Koplo hakuonekana tena mpaka leo.
Koplo Sadi ndiye aliyewapiga Risasi ila kiongozi mtoa amri alikuwa Bageni ambaye kachezea maisha.
 
Ilikuwa ni kusababisha au kuhamasisha mkuu. Wewe unadhani kusababisha na kuua ni sawa? Ndio maana nimesema kusababisha, kumtuma muuaji au kuhamasisha mauaji sio kosa kisheria. Isipokuwa yule anayehusika kuua moja kwa moja ndiye mwenye makosa.
Acha kupiga chenga watu, kwa hiyo wewe ukiwa unagonga mke wa mtu, mwenye mke akakukodia wahuni Kuja kukulawiti, yeye hana kosa au sio!?
 
Mkuu mifano unayotoa haisaddifu sheria za nchi yetu. Unapotosha ama kwa makusudi au kwa kutokujua. Kama Zombe alimwamuru Bageni aende na askari porini na Bageni alipofika huko porini akaamuru wafanyabiashara wauawe ushahidi upo wapi? Huoni kwamba hapa kuna double standards?
Zombie hakuwepo eneo la tukio kabisa. Bageni ndiye aliyekuwepo, na kiaskari, askari wa chini anafata amri ya mkubwa na Bageni ndiye aliyekuwa mkubwa kwa hiyo yeye ndiye aliyesimamia tukio.
 
Mimi ningependa huyo afande naye aunganishwe kwenye kesi hii kama kuchomoka akachomokee Mahakamani, sababu yangu kubwa ni kutaka umma umfahamamu kuwa ni yeye aliyefadhili uharamia uliofanyika ili iwe pia ni fundisho kwake.
Afande atakuwa kazeeka kazi ya chumbani haiwezi , ndo maana mumewe akatafuta ka binti ka kupumzikia..

Sasa Afande bila kujiuliza kulikoni mumewe achepuke kwa kabinti ueye akatuma wahuni wakakala-witi kwa foleni.

Sasa sisi tutamtaka huyo afande, ili hii iwe findisho - ajumlishwe.
 
tpaul unaendelea kuisikiliza kesi ya mauaji ya mwanamuziki AKA wa afrika ya kusini.
Ni kwanini sponsor wa kazi ile baada ya prosecutor ku fuatilia malipo naye ameunganishwa kwenye kesi.
Kinachohitajika kusiwe na double standards maana kama kesi zingine zozote hata ya mbowe wale watuhumiwa wote waliunganishwa na huyu afande inabidi aunganishwe na umma uelewe kupitia tv na media zingine afande kapatikana.
Kuhusu zombe kuachiwa hapo kuna.mengi na kuna taratibu za ujanja wa mwanasheria ili kushinda kesi hizi bila kuwa mweledi kwenye viwanja vya mahakama huwezi kuvielewa.
Iko wapi hii niifatilie? Sponsor ni baba wa yule dem alieuwawa??? Au ni mtu mwingine?
 
Anaweza kupatikana na hatia kama kuna ushahidi, mawasiliano ya simu mfano
Hawezi kuwa mjinga kiasi cha kutumia simu yake yenye majina yake kuwapa kazi watoto wake wakafanye uhuni.

Kwenye hili alishajipanga tukumbuke huyu sio mtu wa kawaida anazijua sheria nadhani alishaziba mianya yote inayoweza kuja mtia hatiani.

Kwenye hili Tushamkosa anachoweza saidia kwa wanae ni kuwahakikishia maisha mazuri GEREZANI vijana wake.

Na kweli hawa madogo Gerezani hawaendi kula msoto hata mmoja mpka wanamaliza kifungo... hatuto.

Wanaondolewa tu URAIANINkwa mistake zilizotokea ila huko GEREZAANI na familia zao huku nnje wote hawato pata shida.. wanaukosa tu uhuru ila vingine vyote watavipata.

1.sio wezi

2.ni vijana wa system

Hawawezi kuwa treated kama wahalifu/watuhumiwa wengine.
 
Hayo mazingira bila shaka ni ya kimkakati kuwanasua wateule.
Rejea kesi ya Gekuli... Ghafla DPP akakacha.

Alafu huyo mume wake sasa. Siyo kama unavyojua. In brackets ni muendelezo wa upinde [emoji304][emoji304][emoji304].
Kwamba mume wa afande ni GAY? yuko Rolle ipii?
Natamaniii kujua zaidii, woiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inawezekana hakuna mahala alipotajwa huyo mlengwa.
Mfano walotumwa wanakana kutumwa nae na nijuavyo mm hawawezi kukubali kumtaja kama kesi ishafika mahakamani.

Pia nadhani issue ya kumuunganisha moja kwa moja na kesi hiyo ndo ngumu(huu ni mtizamo wangu). Kama unashindwa kumuunganosha moja kwamoja kutokana na kukosa doti tayar ishakuwa mpasuko. Pia ninawasiwasi na sheria zetu katika kula njama kutenda kosa la ubakaji wa makundi.

Ila kama hajatajwa na watuhumiwa na wamemkana hata kama binti akisema mdo yeye hapo hapo hawezi ingia hatiani tena maana pale aliposema afande naomba msamaha inawezekana alikuwa anamwomba msamaha "nyundo" maana naye ni afande.

Hii kesi kunanamna flan ni nyepesi kwa watuhumiwa ila kutokanan na presha lazma waumie
Nyepesi kwa watuhumiwa kubaka na kulawiti, Tena kwa ushahidi wa video!? Una shida sio bure
 
Hawezi kuwa mjinga kiasi cha kutumia simu yake yenye majina yake kuwapa kazi watoto wake wakafanye uhuni.

Kwenye hili alishajipanga tukumbuke huyu sio mtu wa kawaida anazijua sheria nadhani alishaziba mianya yote inayoweza kuja mtia hatiani.

Kwenye hili Tushamkosa anachoweza saidia kwa wanae ni kuwahakikishia maisha mazuri GEREZANI vijana wake.

Na kweli hawa madogo Gerezani hawaendi kula msoto hata mmoja mpka wanamaliza kifungo... hatuto.

Wanaondolewa tu URAIANINkwa mistake zilizotokea ila huko GEREZAANI na familia zao huku nnje wote hawato pata shida.. wanaukosa tu uhuru ila vingine vyote watavipata.

1.sio wezi

2.ni vijana wa system

Hawawezi kuwa treated kama wahalifu/watuhumiwa wengine.
Ni watu wa system!? Au sio!? Kwa hiyo system ndio imewatuma!?
 
tpaul unaendelea kuisikiliza kesi ya mauaji ya mwanamuziki AKA wa afrika ya kusini.
Ni kwanini sponsor wa kazi ile baada ya prosecutor ku fuatilia malipo naye ameunganishwa kwenye kesi.
Kinachohitajika kusiwe na double standards maana kama kesi zingine zozote hata ya mbowe wale watuhumiwa wote waliunganishwa na huyu afande inabidi aunganishwe na umma uelewe kupitia tv na media zingine afande kapatikana.
Kuhusu zombe kuachiwa hapo kuna.mengi na kuna taratibu za ujanja wa mwanasheria ili kushinda kesi hizi bila kuwa mweledi kwenye viwanja vya mahakama huwezi kuvielewa.
Unaposema "ujanja wa mwanasheria" unamaanisha kuna njia nyingine feki nje ya mahakama zinazotumiwa na mahakimu na mawakili kushinda kesi?
 
Sasa unadhani kwanini Zombe na mke wa Msuya waliachiwa huru mkuu?
Kushinda kesi pia ni namna ya Yale mashitaka yalivyopangwa na waendeaha mashitaka. Waendesha mashitaka wakikosea namna ya kuandaa na kuyawasilisha mashitaka kwa vifungu sahihi vya Sheria unaweza kuwashinda ila sio kwamba eti wewe ni mjanja sana.
 
Inawezekana hakuna mahala alipotajwa huyo mlengwa.
Mfano walotumwa wanakana kutumwa nae na nijuavyo mm hawawezi kukubali kumtaja kama kesi ishafika mahakamani.

Pia nadhani issue ya kumuunganisha moja kwa moja na kesi hiyo ndo ngumu(huu ni mtizamo wangu). Kama unashindwa kumuunganosha moja kwamoja kutokana na kukosa doti tayar ishakuwa mpasuko. Pia ninawasiwasi na sheria zetu katika kula njama kutenda kosa la ubakaji wa makundi.

Ila kama hajatajwa na watuhumiwa na wamemkana hata kama binti akisema mdo yeye hapo hapo hawezi ingia hatiani tena maana pale aliposema afande naomba msamaha inawezekana alikuwa anamwomba msamaha "nyundo" maana naye ni afande.

Hii kesi kunanamna flan ni nyepesi kwa watuhumiwa ila kutokanan na presha lazma waumie
Mkuu ikiwa watuhumiwa watakana kutumwa na afande kwa kuwa aliwapa hela na kwa kuwa waliinjoi uloda, binti aliyefirwa na hao mabedui lazima atamtaja tu. Hakuna namna anvyoweza kuponyoka kutajwa isipokuwa akifikishwa mahakani ndipo atakapochomokea baada ya kushinda kesi.
 
Kama Sheria zetu ndio hizo. Yaani mtu aliyetuma watu wafanye uhalifu Sheria haimtambui, basi tuna kazi sana na uonevu hautakwisha katika Nchi hii.
 
Kwa hiyo hawezi kushtakiwa kwa kosa la kula njama?

Mbona Mhe. Mbowe alitiwa hatiani kwa kosa la kuonekana kama kapanga njama za kuwadhuru viongozi na huku yeye hakuwepo kabisa field bali wale makomandoo?
Hakutiwa hatiani bali aliunganishwa nao kama mastermind!
 
Wewe jamaa ungekuwa mwanasheria ningemtukana mkuu wa chuo chako hadharani. Hali ingekuwa hivyo utendaji wa makosa ungekuwa simple sana.
Principle katika Sheria ni Moja tuu
"He who do something through another is deemed to do so himself"
Tena unawafahamu accessory before the fact? Hata hao walio elekeza au kuamuru kutendeka Kwa kosa Wana fall within....
Sheria ni rahisi sana tusomeni wakuu
Hao walio shinda walitengeneza mazingira ya kutokupatikana ushahidi unaowaunganisha na watuhumiwa and not otherwise
 
Waliamua kumtoa kafara ili kumlinda Zombe aliyekuwa injinia mkubwa kwenye hili jambo.
Yeye ndiye Mkuu aliyekuwapo Wakati mauaji yanafanyika. Yeye ndiye aliyeagiza chombo iende Mabwepande usiku. Hivyo ni wazi alijua kinachoenda kutendeka. Msenge yule Wacha aozee jela.
 
Back
Top Bottom