Sababu za msingi zinazopelekea 'afande' wa ulawiti asikamatwe ni hizi?

Kwa mchanganuo huu was kipimbi sisi Kama taifa tinasafari ndefu Sana ya kupambana na ujinga! Hivi neno "kula njama " peke yake ni kosa ! Ieleweke kwamba kupanga mipango ya kufanya uhalifu ndio kwa lugha ya kimahakama ndio wansema kula njama! Sasa huyo afande aliepanga hiyo mipango ya kubaka anatokaje kwenye hii case ??
 
Asante sana kwa nondo hii muhimu sana mkuu. Ubarikiwe mno.
unasifiana ujinga kwa kujiona wajuaji kumbe vilaza tu, kula njama ni kosa kisheria usichojua au kwa makusudi hutaki kujua ni kuwa si kila anaye shitakiwa mahakani atatiwa hatiani zombe na mke wa msuya hawakutiwa hatiani kwa kukosekana ushahidi usitia shaka juu ya uhusika wao kwenye makosa waliyoshitakiwa lkn sio kwa sababu ukituma mtu kufanya kosa wewe uhusiki waliendesha mashitaka walishindwa kudhibitisha kama kweli wao waliwatuma wale waliotekeleza yale mauaji.
 
Pamoja sana mkuu.
 
Hii inamkumbusha jkt tulkua na afande mkuda alkua ananletea ukuda na chuki aisee......
Kuna rafiki yangu ni magereza alnpigia last month ananambia yule afande ni mfungwa wake saivi(Kuna Yuko walfanya)
 
Thank you. This is well put (umeiweka vizuri sana) hata mm kuna jinsi sikuwa nimeeleza hizo kesi mbili now i understand. Ndio maana watu wengi wanawatukana mahakimu na majaji lakini ulivyo elezea ni kuwa hatujui sheria vizuri. Na pengine sheria zinahitaji kupitiwa vizuri ili hata mtuhumiwa wa kutuma aweze kupata naya adhabu, na ushahidi fulani uweze kumtia hatiani na si kumwacha huru. Manake hii sheria inaweza kuongeza wahalifu kwa kujua tu mwisho wa siku atakutwa hana hatia wakati tunajua alituma na kufadhili hayo mauji ama huo uhalifu. Thank you again.
 
Mimi sio mwanasheria lakini nafahamu mambo ya kisheria kidogo mkuu
Mimi sio mwanasheria lakini nafahamu mambo ya kisheria kidogo mkuu
Huhitaji kusema kuwa wewe siyo mwanasheria kwani andiko lako linaonyesha kabisa kuwa unajaribu kuandika kitu usicho na ujuzi nacho kabisa, na unapotosha sana.
 
Alichoandika ni UONGO na mifano aliyotoa si sahihi,nashangaa unapomsifia kwa UONGO na UPOTOSHAJI,nadhani nimeweka clear Kesi ya Zombe,soma utaelewa sababu za Zombe kuachiwa na Bageni kuhukumiwa
 
Kutafsiri sheria ni kazi ya mahakama, kwa hiyo watuhumiwa wote wanatakiwa kupelekwa mahakamani then mahakama yenyewe ndo itoe hukumu, siyo suala la polisi kutoa tafsiri halafu eti wajiamulie tu huyu kumpeleka sawa yule si sawa hapana hiyo siyo kazi yao
 
Endapo kulikuwa na mawasiliano yalifanyika kati yao kwa njia ya simu na ikabainika ni kweli aliwatuma, ana kesi ya kujibu…

Pia Kama binti aliyefanyiwa ukatili akaleta ushahidi unaoonyesha endapo aliwahi kupokea either vitisho na kweli alikuwa na mahusiano na mume wa huyo afande- ana kesi ya kujibu..
 
bush lawyer huyo
 
Inawezekana hakuna mahala alipotajwa huyo mlengwa.
Mfano walotumwa wanakana kutumwa nae na nijuavyo mm hawawezi kukubali kumtaja kama kesi ishafika mahakamani.

Pia nadhani issue ya kumuunganisha moja kwa moja na kesi hiyo ndo ngumu(huu ni mtizamo wangu). Kama unashindwa kumuunganosha moja kwamoja kutokana na kukosa doti tayar ishakuwa mpasuko. Pia ninawasiwasi na sheria zetu katika kula njama kutenda kosa la ubakaji wa makundi.

Ila kama hajatajwa na watuhumiwa na wamemkana hata kama binti akisema mdo yeye hapo hapo hawezi ingia hatiani tena maana pale aliposema afande naomba msamaha inawezekana alikuwa anamwomba msamaha "nyundo" maana naye ni afande.

Hii kesi kunanamna flan ni nyepesi kwa watuhumiwa ila kutokanan na presha lazma waumie
 
Kwa maana hiyo, kufadhil ugaidi sio, kufadhili mauaji sio kosa, kufadhili uhaini siyo kosa au
Ni kosa ila tatizo kuthibisha hilo kosa mahakamani ndo kimbembe labda kama unataka tu kumsumbua mtu kwenda na kurudi mahakamani mwisho wa siku mahakama itamuachia huru tu
 
Acha mbilinge, afande alitakiwa aunganishwe, kwa kesi simple kwakuwa ndiye aliombwa msamaha, ndiye alimuamuru kwenye pub yake, binti alikiri kutembea na mume wake...alitakiwa ajisafishe mashambani...hii issue tunaijua vizuri sana kabla hata kuonekana mtandaoni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…