Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,311
Nashawishika kusema kwamba Hon Raila Odinga Aliyajua maamuzi ya Sc hata kabla kutangazwa...
(1) vyombo vya habari vya kenya vilitangaza kwamba Raila angetoa speech punde tu baada ya hukumu,na kweli alifanya hivyo bila kuchelewa.
(2) ile speech yake ilikuwa imesha andaliwa mapema,ina maana alikuwa ameshajua maamuzi ya majaji hata kabla ya kusomwa,swali hapa ni.je mutunga na wenzake walimbrief kwamba maamuzi yao yatakuwa kinyume na matarajio yake?.
(3) asingeweza kupingana nayo kwa wakati ule,kwa sababu wafuasi wake wangeingia mtaani na kuandamana,kuanzia mombasa nairobi,kisumu,busia mpaka nyanza yote,na hapo mauaji yangetokea kwa sababu tayari police walikuwa wameshajiandaa.
(4)alikubali kukwepa mkono mrefu wa icc,ingeonekana yeye ni na wafuasi wake ni watu wapenda fujo,hili lingeashiria kwamba hata 207 kumbe yeye ndio alishababisha fujo.
Kwa hili nampongeza Hon Odinga kwa kuona mbali.Haya ni maoni yangu,natambua wazi kwamba mheshimiwa Odinga anavyokubali kwa wakenya wengi hadi sisi baadhi ya watanzania kumkubali,...Angesema tu kwamba sikubaliani na maamuzi ya mahakama basi kenye kungewaka moto.
Pia ameonyesha kwamba demokrasia ambayo ameipigania Kenya anaiheshimu na ndio maana aliamua kucool down,japo alikuwa na uwezo wa kuukataa maamuzi ya mahakama.
Hongera sana Rt Hon Raila Amolo Odinga.
(1) vyombo vya habari vya kenya vilitangaza kwamba Raila angetoa speech punde tu baada ya hukumu,na kweli alifanya hivyo bila kuchelewa.
(2) ile speech yake ilikuwa imesha andaliwa mapema,ina maana alikuwa ameshajua maamuzi ya majaji hata kabla ya kusomwa,swali hapa ni.je mutunga na wenzake walimbrief kwamba maamuzi yao yatakuwa kinyume na matarajio yake?.
(3) asingeweza kupingana nayo kwa wakati ule,kwa sababu wafuasi wake wangeingia mtaani na kuandamana,kuanzia mombasa nairobi,kisumu,busia mpaka nyanza yote,na hapo mauaji yangetokea kwa sababu tayari police walikuwa wameshajiandaa.
(4)alikubali kukwepa mkono mrefu wa icc,ingeonekana yeye ni na wafuasi wake ni watu wapenda fujo,hili lingeashiria kwamba hata 207 kumbe yeye ndio alishababisha fujo.
Kwa hili nampongeza Hon Odinga kwa kuona mbali.Haya ni maoni yangu,natambua wazi kwamba mheshimiwa Odinga anavyokubali kwa wakenya wengi hadi sisi baadhi ya watanzania kumkubali,...Angesema tu kwamba sikubaliani na maamuzi ya mahakama basi kenye kungewaka moto.
Pia ameonyesha kwamba demokrasia ambayo ameipigania Kenya anaiheshimu na ndio maana aliamua kucool down,japo alikuwa na uwezo wa kuukataa maamuzi ya mahakama.
Hongera sana Rt Hon Raila Amolo Odinga.