Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Sasa wachaga mnafeli wapi nanyi
 
Sasa wachaga mnafeli wapi nanyi
watu wana uwezo wa kuchanga bilioni 2 kwa group la whatsapp kujenga kilomita 3 za lami unawaita wanafeli? bado kippi warioba akawa anawakataza wasijenge lami ? unajua kilichowakuta viongozi wa huo mchango?ila mwisho wa siku lami ilijengwa
 
watu wana uwezo wa kuchanga bilioni 2 kwa group la whatsapp kujenga kilomita 3 za lami unawaita wanafeli? bado kippi warioba akawa anawakataza wasijenge lami ? unajua kilichowakuta viongozi wa huo mchango?ila mwisho wa siku lami ilijengwa
Mnafeli wapi kuwashughulikia hao wahalifu mbona Mara Hakuna ujinga huo
 
Mnafeli wapi kuwashughulikia hao wahalifu mbona Mara Hakuna ujinga huo
watu walikimbizia hela zao nairobi kaka ila nasikia wameanza kurudisha hela, ni balaa huko kwa jerry muro ana hadi madeni ya flat screen inchi 52 kachukua dukani hataki malizia hela....yaani mwendazake alikuwa anapenda wahuni na vibaka sana
Halafu huko mara si ndo baba yake sabaya alikuwaga mkuu wailaya serengeti akachoma nyumba za kutosha? na kuna huyo wa Rorya odongo anawacharaza viboko?
 
Huyu Sabaya alikuwa na maelekezo kutoka juu si Bure kwa kuwa mother yupo we tuliza boli utaona.
 
Huyu wamtoe gerezani kisha wampeleke sokoni Wilayani Hai ili wananchi wenye hasira kali wadili naye.
Bure Wanapoteza raslimali za nchi kwenye mifumo ya kisheria
Hapana, Hao wananchi wataonyesha hasira kwa muda mfupi na hatopata majuto ya muda mrefu. Acha sheria ichukue mkondo wake, atapata mateso na majuto ya muda mrefu. Unajua kwa mfano ukumuua jambazi haraka, hakuna mateso anayopata ili akisota mahabusu miaka kadhaa na baadae akahukumiwa say kunyongwa (na hanyongwi) ni mateso sana
 
Bora sabaya alivyokifunga hicho kiwanda. Eti faru john..nyie wamangi biashara yenu pombe tu ngoja kama wote hamjakua kama warombo. Tutahamia kukamata something zenu kuokoa zisihamie kenya. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mwendaZake alikuwa hatari Sana.
 
Bora sabaya alivyokifunga hicho kiwanda. Eti faru john..nyie wamangi biashara yenu pombe tu ngoja kama wote hamjakua kama warombo. Tutahamia kukamata something zenu kuokoa zisihamie kenya. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwenye kiwanda ni mpare
 
Halafu mkikaa hapa mnamsifia jiwe eti alikuwa mzalendo.

Do yoy think haya hakuyaona au kusikia?
Halafu Jiwe mwenyewe eti anaenda Kanisani anahutubia eti "tumtangulize Mungu mbereee, tusibaguane kwa ukabila, ukanda, dini na vyama vyetu, tuwe wazarendo- jinga kweli, kiswahili kibovu. Mungu akaona Jiwe ndo litangulie mbele, Sabaya na wenzao wafuatie. Kwa kina Sabaya ingekubaliwa lile ombi la tatu la kibaka (kama alivyoelekeza Chalamila).
 
Hakuna haja, hivyo Vyeo vifutwe kabisa...
Ni kweli vyeo vya RC, DC vifutwe, then viondoke pia vya RAS na DAS. Hivi vyote ni vyeo vya kuilinda CCM na pia kuwatafutia ulaji wana CCM wanaokosa vyeo vingine vya kitaalam na kisiasa.

TAMISEMI iwe Wizara inayosimamia Serikali za Mitaa kwa ngazi ya Halmashauri chini ya DED. Kila kinachofanywa kwenye Halmashauri kwa sehemu kubwa kina Wizara mama inayosimamia. Mfano Maji, Elimu, Afya, Umeme, Barabara, Kilimo na Mifugo, Ulinzi na Usalama kuna Polisi - OCD ambaye yuko chini ya Polisi HQ na Wizara ya Mambo ya Ndani. Kwa hiyo TAMISEMI ikiwasimamia vizuri DEDs wakiwa na wataalam wao inatosha kabisa. Hao watasimamiwa na Wabunge na Madiwani kwa ngazi za kisiasa, basi mchezo umeisha. Wananchi wanataka huduma na maendeleo yao, siyo administrative structures zinazoongeza gharama za uendeshaji ambazo mwisho wa siku zinabebwa na walipa kodi.
 
Wameona fursa ya kupigia pesa za wajinga.
Uzalendo ni kichaka cha kufichia uhalifu

Tafsiri ya uzalendo katika utawala wa awamu ya 5 ulibeba maana nyingine kabisa.
 
Tumekusikia miss sabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…