Mimi naona kuna sababu kuu tatu zifuatazo kwa mtiririko wa uzito wake:-
1) Kesi nyingi za Serikali zinatokana na uborongaji wa viongozi. Hivyo mawakili wa serikali wanaenda kutetea kitu ambacho kimsingi kimeborongwa (flauted), ila kwa kuwa wameajiriwa na Serikali basi wafanyeje? Wanajiendea tuu!
2) Mawakili wa serikali hulipwa malipo kidogo na hata incentives hawana, hali hii huwafanya kuwa demorolised, laxed and irresponsible.
3) Rushwa. Fikiri wakili anaenda kusimamia kesi ya mabilioni, kama adverse party yuko vizuri, kwa nini asipokee mlungula ambao huenda ni sawa na kiinua mgongo chake atakapostaafu?.
1) Kesi nyingi za Serikali zinatokana na uborongaji wa viongozi. Hivyo mawakili wa serikali wanaenda kutetea kitu ambacho kimsingi kimeborongwa (flauted), ila kwa kuwa wameajiriwa na Serikali basi wafanyeje? Wanajiendea tuu!
2) Mawakili wa serikali hulipwa malipo kidogo na hata incentives hawana, hali hii huwafanya kuwa demorolised, laxed and irresponsible.
3) Rushwa. Fikiri wakili anaenda kusimamia kesi ya mabilioni, kama adverse party yuko vizuri, kwa nini asipokee mlungula ambao huenda ni sawa na kiinua mgongo chake atakapostaafu?.