Inasemekana qaligundua ata kuwa ni afsa kipenyoBila kumung'unya maneno, kuna mtu aliwahi kusema CEO alikosa vibali vya kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana qaligundua ata kuwa ni afsa kipenyoBila kumung'unya maneno, kuna mtu aliwahi kusema CEO alikosa vibali vya kazi.
NIlishangaa sana ceo kutoka Rwanda,?aende zake kabisaAsa sababu si washasema njee ya uwezo wao
Kumbe arshavin alikuwa shushu nje ya soka?Hakuna aliyejua kuwa Andrey Arshavin alifika Arsenal kwa kazi nyingine tofauti na soka.
Hoja ya Simba ni "Sababu zilizo nje ya uwezo wetu" zinajibu maswali mengi
Wanataka mdada.Klabu ya Simba imetangaza kuachana na CEO wake raia wa Rwanda bwana Regis Francos kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao je sababu hizo zaweza kuwa ni zipi? mbona Simba inafanya vizuri katika ligi?
Dunia ina mengi kwani Morison nani alijua kuwa ni kachero mbobezi? Basi huku kwenye vijiwa vya kahawa tunajua mengi huyo bwana nae hiyo nafasi hakuipata hivi hivi inaonekana kulikua na mtangulizi wake ndie alimpendekeza ajae kwenye mfumo piaKumbe arshavin alikuwa shushu nje ya soka?
Arshavin mechi ya Arsenal vs Liverpool alikua jukwaani pale emirates taarifa za ujasusi alioufanya zingekua ni za kweli wasingemruhusu kuja....ishu zingine ni story zisizokua na ushahidiMpira una majasusi sana na baadhi ya nchi hutumia huo mwanya kupata taarifa wanazotaka
Utakumbuka Arshavin alikuwa jasusi wa kremlin kwa muda mrefu pale London
Sasa huyu jamaa alisemekana kuwa ni jasusi mkubwa kutoka Kigali na team anayokuja kuongoza ndio ya kina kisugu na pasi milioni mashabiki wote ni oyah oyah Sasa jamaa atakuwa anachota taarifa bila shida
Duuuh huwenda toru anatusoma kimyakimyaDunia ina mengi kwani Morison nani alijua kuwa ni kachero mbobezi? Basi huku kwenye vijiwa vya kahawa tunajua mengi huyo bwana nae hiyo nafasi hakuipata hivi hivi inaonekana kulikua na mtangulizi wake ndie alimpendekeza ajae kwenye mfumo pia
Sio story ni kweli sema wenzetu hufata sheria sana kiasi hadi wa kuweke kizuizini ni ushahidi wa kutosha au labda walimgeuza double agentArshavin mechi ya Arsenal vs Liverpool alikua jukwaani pale emirates taarifa za ujasusi alioufanya zingekua ni za kweli wasingemruhusu kuja....ishu zingine ni story zisizokua na ushahidi
Watu wanachukulia mambo ki kawaida sana wakitaka kujua makachero ni wengi michezoni wamuulize MeckyDunia ina mengi kwani Morison nani alijua kuwa ni kachero mbobezi? Basi huku kwenye vijiwa vya kahawa tunajua mengi huyo bwana nae hiyo nafasi hakuipata hivi hivi inaonekana kulikua na mtangulizi wake ndie alimpendekeza ajae kwenye mfumo pia
Shirika la ujasusi la ufaransa limethibisha kuwa Andrey Ashavin amejiunga na Arsenal kwa lengo la kufanikisha ujasusi kama alivyovutumwa na nchi yake.Kumbe arshavin alikuwa shushu nje ya soka?
🤣🤣🤣 Viongozi wenu wanashindwa kuwa wawazi juu ya ilo suala, kwamba wamenyimwa kibali cha CEO kufanya kazi Tanzania? Waseme tu kwamba uyo bwana alizuiliwa kwasababu za kiusalama zaidi, uyo bwana inasemekana ni afisa kipenyo kule Rwanda kwaiyo ilikuwa ni ngumu sana kuingia Tanzania kirahisi rahisi!Bila kumung'unya maneno, kuna mtu aliwahi kusema CEO alikosa vibali vya kazi.
Tunapoteza rasilimali nyingi za nchi kila siku kuongelea kinafki habari za jumuiya ya Afrika Mashariki halafu mtu anapewa cheo cha CEO wa timu ya mpira tu watu wanaanza kutafutana.🤣🤣🤣 Viongozi wenu wanashindwa kuwa wawazi juu ya ilo suala, kwamba wamenyimwa kibali cha CEO kufanya kazi Tanzania? Waseme tu kwamba uyo bwana alizuiliwa kwasababu za kiusalama zaidi, uyo bwana inasemekana ni afisa kipenyo kule Rwanda kwaiyo ilikuwa ni ngumu sana kuingia Tanzania kirahisi rahisi!
Wewe ulimuuliza mecky alisemajeWatu wanachukulia mambo ki kawaida sana wakitaka kujua makachero ni wengi michezoni wamuulize Mecky
Simba na yanga ni zaid ya timu za mpira mkuu,hizo timu zinatawala mioyo ya watanzania wengi ni hatari sana mtawala ukishindwa kuzicontrol.Tunapoteza rasilimali nyingi za nchi kila siku kuongelea kinafki habari za jumuiya ya Afrika Mashariki halafu mtu anapewa cheo cha CEO wa timu ya mpira tu watu wanaanza kutafutana.
Hivyo ni visingizio tu. Unaposema watawala kucontrol timu za mpira ina maana kuna upangaji wa matokeo pia. Wewe unaunga mkono hilo jambo?Simba na yanga ni zaid ya timu za mpira mkuu,hizo timu zinatawala mioyo ya watanzania wengi ni hatari sana mtawala ukishindwa kuzicontrol.
Duh! Morrison na ku-act uchizi vile kumbe yuko kazini? Kwamba ule uchizi feki ndio ana-gather data hivyo! Hatari sana!Dunia ina mengi kwani Morison nani alijua kuwa ni kachero mbobezi? Basi huku kwenye vijiwa vya kahawa tunajua mengi huyo bwana nae hiyo nafasi hakuipata hivi hivi inaonekana kulikua na mtangulizi wake ndie alimpendekeza ajae kwenye mfumo pia