Sababu kubwa ya Simba kufungwa na RAJA ni kwa sababu uwanja wa MKAPA ulishikwa na UTOPOLO kiasi kwamba ushindi wa uto ulikuwa wa SIMBA. Wazee wa YANGA walifanya umafia uwanja ukalogwa sana.
So wana simba mechi ijayo ya SIMBA nyumbani dhidi ya Vipers tujiandae kisaikolojia tena kwa sababu Yanga tena watacheza nyumbani siku inayofuata. Hii ni balaa kwetu inaonekana Yanga wanaloga zaidi mpaka wanahamisha magoli
So wana simba mechi ijayo ya SIMBA nyumbani dhidi ya Vipers tujiandae kisaikolojia tena kwa sababu Yanga tena watacheza nyumbani siku inayofuata. Hii ni balaa kwetu inaonekana Yanga wanaloga zaidi mpaka wanahamisha magoli