Sababu za upungufu wa Dola Nchini ni utoroshwaji na sio kama tunavyoambiwa!

Sababu za upungufu wa Dola Nchini ni utoroshwaji na sio kama tunavyoambiwa!

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,935
Wimbi la ukosefu/upungufu wa pesa za kigeni nchini, ni tatizo kubwa kwa sasa. Lakini tunadanganywa na baadhi ya wanasiasa huko madarakani.

Ukweli ni kwamba kuna upungufu mkubwa wa Dola nchini, kwa sababu vigogo wa serikali wanashindana kutorosha pesa kupeleka nchi za nje.

Wanaiba kwa ubadhirifu mabilioni ya shilingi za kitanzania na kisha wanazibadilisha kuwa "$ Dollar" kabla ya kuzitorosha na kuzificha huko ughaibuni.

Na hii ndio sababu halisi ya kinachoendelea nchini, hii lingine ni blah blah tupu.

Wenye kujitambua mtanielewa, wale wabebewa akili endeleeni na mapambano na kaburi.
 
Fisi wa ile rangi ya miti ya mbog wanapora balaaa
 
MKUU,

Inakuwaje 01010 ipo halafu inaruhusu janga la wizi mkubwa kama hilo!!?

Yaani inakuwaje deep state ipo inakaliaw kimya wizi mkubwa kama huo!!!?

Ina MAANA na wao wapo corrupted!!?kama sio corrupted kwanini waridhike na neno stupid tu kama kweli wapo serious na state!!!?

Huwa mnanichanganya sana NYIE jamaa!

NGOJA tuone hatma,kama ni hivyo huo wizi una baraka zenu coz kama mmpo na haya yanatokea halafu mpo kimya Bas mmebariki!
 
Wimbi la ukosefu/upungufu wa pesa za kigeni nchini, ni tatizo kubwa kwa sasa. Lakini tunadanganywa na baadhi ya wanasiasa huko madarakani.

Ukweli ni kwamba kuna upungufu mkubwa wa Dola nchini, kwa sababu vigogo wa serikali wanashindana kutorosha pesa kupeleka nchi za nje.

Wanaiba kwa ubadhirifu mabilioni ya shilingi za kitanzania na kisha wanazibadilisha kuwa "$ Dollar" kabla ya kuzitorosha na kuzificha huko ughaibuni.

Na hii ndio sababu halisi ya kinachoendelea nchini, hii lingine ni blah blah tupu.

Wenye kujitambua mtanielewa, wale wabebewa akili endeleeni na mapambano na kaburi.
Hii ni kweli kabisa Voicer.
 
MKUU,

Inakuwaje 01010 ipo halafu inaruhusu janga la wizi mkubwa kama hilo!!?

Yaani inakuwaje deep state ipo inakaliaw kimya wizi mkubwa kama huo!!!?

Ina MAANA na wao wapo corrupted!!?kama sio corrupted kwanini waridhike na neno stupid tu kama kweli wapo serious na state!!!?

Huwa mnanichanganya sana NYIE jamaa!

NGOJA tuone hatma,kama ni hivyo huo wizi una baraka zenu coz kama mmpo na haya yanatokea halafu mpo kimya Bas mmebariki!
Mimi usalama wa taifa nchi hii hata siwaelewi wapo kwa kazi gani hasa ? Labda ndio hiyo ya kutafutana na wanao ikosoa serikali tu maana mambo mengi ya wizi ya mali za umma yanafanyika na wao wapo tu na ndio kwanza wanaongezewa kinga , hiki kitengo kinahitaji kipewe job descriptions zingine kwa manufaa ya taifa
 
Wimbi la ukosefu/upungufu wa pesa za kigeni nchini, ni tatizo kubwa kwa sasa. Lakini tunadanganywa na baadhi ya wanasiasa huko madarakani.

Ukweli ni kwamba kuna upungufu mkubwa wa Dola nchini, kwa sababu vigogo wa serikali wanashindana kutorosha pesa kupeleka nchi za nje.

Wanaiba kwa ubadhirifu mabilioni ya shilingi za kitanzania na kisha wanazibadilisha kuwa "$ Dollar" kabla ya kuzitorosha na kuzificha huko ughaibuni.

Na hii ndio sababu halisi ya kinachoendelea nchini, hii lingine ni blah blah tupu.

Wenye kujitambua mtanielewa, wale wabebewa akili endeleeni na mapambano na kaburi.


Unachomaanisha inawezekana ni kweli pesa imetoroshwa. Lkn usituzuie kukuhoji zaidi, kwa kutuambia walioshikiwa akili.
Maswali machache.
1. Ni mara ngapi katika historia ya nchi yetu hili limetukia?
2. Sababu zilikuwa zipi?
3. Kutoshwa kwa pesa kumeanza leo?
4. Kama kulikuwepo, mbona athari za upungufu wa dola haukuwepo?
5. Kama unaweza kuonesha uthibitisho wa kutoroshwa kwa dola.
Tuanzie hayo kwa uchache.
 
Wimbi la ukosefu/upungufu wa pesa za kigeni nchini, ni tatizo kubwa kwa sasa. Lakini tunadanganywa na baadhi ya wanasiasa huko madarakani.

Ukweli ni kwamba kuna upungufu mkubwa wa Dola nchini, kwa sababu vigogo wa serikali wanashindana kutorosha pesa kupeleka nchi za nje.

Wanaiba kwa ubadhirifu mabilioni ya shilingi za kitanzania na kisha wanazibadilisha kuwa "$ Dollar" kabla ya kuzitorosha na kuzificha huko ughaibuni.

Na hii ndio sababu halisi ya kinachoendelea nchini, hii lingine ni blah blah tupu.

Wenye kujitambua mtanielewa, wale wabebewa akili endeleeni na mapambano na kaburi.
CHADUMU wanasemaje?
 
Wimbi la ukosefu/upungufu wa pesa za kigeni nchini, ni tatizo kubwa kwa sasa. Lakini tunadanganywa na baadhi ya wanasiasa huko madarakani.

Ukweli ni kwamba kuna upungufu mkubwa wa Dola nchini, kwa sababu vigogo wa serikali wanashindana kutorosha pesa kupeleka nchi za nje.

Wanaiba kwa ubadhirifu mabilioni ya shilingi za kitanzania na kisha wanazibadilisha kuwa "$ Dollar" kabla ya kuzitorosha na kuzificha huko ughaibuni.

Na hii ndio sababu halisi ya kinachoendelea nchini, hii lingine ni blah blah tupu.

Wenye kujitambua mtanielewa, wale wabebewa akili endeleeni na mapambano na kaburi.
Upungufu wa dola sio Tanzania pekee, upo karibu nchi nyingi Africa . Kama unafatilia taarifa kenya ndio ilikuwa ya kwanza kulalamika dollar deficiency. Ikapelekea Ruto kupiga mkwara kwa walioficha dola.
 
Una ushahidi na unachokisema au hisia zako zinakutuma hvo?
 
MKUU,

Inakuwaje 01010 ipo halafu inaruhusu janga la wizi mkubwa kama hilo!!?

Yaani inakuwaje deep state ipo inakaliaw kimya wizi mkubwa kama huo!!!?

Ina MAANA na wao wapo corrupted!!?kama sio corrupted kwanini waridhike na neno stupid tu kama kweli wapo serious na state!!!?

Huwa mnanichanganya sana NYIE jamaa!

NGOJA tuone hatma,kama ni hivyo huo wizi una baraka zenu coz kama mmpo na haya yanatokea halafu mpo kimya Bas mmebariki!
Hivi Kuna watu bado mpo kwenye huu ulimwengu wa mawazo fikirika na dhahania juu ya uwepo wa hao watu hasa nchini Tanzania,nachelea kusema kwamba pole yenu nyote wenye fikra hiyo hii nchi kwa sasa unawatetea matumbo Yao tu over
 
Wanakwenda Nazo Ughaibuni Kugungua Account Halafu Wanasema Zinaadimika Kumbe Sababu Wanazijua Ila Tanzania Jamani
Malengo Yao Ni 2025 Kwenye Uchaguzi. Muhari Unauwa Taifa Sana
 
Back
Top Bottom