DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Baba yako na mama yako hawa ni watu muhimu ambao wamebeba hazina zako.
MTU yeyote anayemkataa na kumtelekeza mzazi wake anabidi kujua anapanda mbegu mbaya ambayo itamuangamiza yeye mwenyewe.
Wazazi ni kila kitu hapa duniani.
MTU yeyote anayemkataa na kumtelekeza mzazi wake anabidi kujua anapanda mbegu mbaya ambayo itamuangamiza yeye mwenyewe.
Wazazi ni kila kitu hapa duniani.