Sababu zangu za kuwaunga mkono Wapalestina ni za jadi ya Tanzania na Watanzania wote wanaojielewa

Unajua ubaguzi wanaofanyiwa waafrika na wadada wa kazi huko Yemeni... Tena ukiwa sio wa Dini yao watakubagua kinoma.

Nenda YouTube katafute mikasa ya waafrika huko Oman na Yemen, na sehemu za uarabuni
Hayo yanahusiana nini na hii mada?

Wewe unamuunga mkono Nyerere kuwaunga mkono Wapalestina au leo unamtosa nyerere?
 
Ni rahisi sana masikini kumzungumzia tajiri kwa tajiri huo muda hana kabisa.

Sisi waafrika kufatilia mambo ya wapalestina na waisrael ni kuherehere cha kiwango cha juu wakati wao muda wa kufatilia mambo yetu hawana.

Tuwaache kama wameamua kuuana wafe tu. Na sisi tunazo shida za kwetu
 
Hata katika hili haukubaliani na Nyerere, wewe una sababu zako na Nyerere alikua na sababu zake.
So, wewe simama na zako, usijifichie kwenye sababu za Nyerere wakati Moyoni una zako ila unataka kutembelea za Nyerere kwa kuwa umeona labda zina mashiko.
 
Hayo yanahusiana nini na hii mada?

Wewe unamuunga mkono Nyerere kuwaunga mkono Wapalestina au leo unamtosa nyerere?
Nimekwambia Tabia za kuina ardhi ni za waarabu ndio tabia yao... Wewe si umesema sio wabaguzi nami nakwambia ni wanaguzi
 
Mada hapa si masikini wala tajiri.

Mada ni nyerere aliwaunga wapalestina, je wewe unamtosa "masikini" mwenzio nyerere leo?
 
Kumtosa kuhusu Nini Sasa.

Zile mada za kumfanya aonekane hajaleta uhuru wa Tanganyika bali wazee wako wa Kariakoo leo unazitosa??
Mada hapa ni palestina nisrael.

Zile inanyuzi zake.


Je, wewe leo unamtosa Nyerere au upo na Nyerere?
 
Ulitaka niwe mpagani kama wewe?


Vipi hapa, unamuunga mkono nyerere kwa kuwaunga mkono wapalestina au unamtosa?

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Waarabu na wayahudi ni wabaguzi Sana Wacha wachapane....shauri zao

Kuna watu wabaguzi kama wabantu japo sio wote, wakifuatiwa na rafiki zenu mayahudi laana za Allah ziwe juu yao.

Waarabu/Waislam kwa ujumla wake wana wanyima usingizi haswaa enyi wapagani
 
Isome vizuri post namba moja.

Hoja ni Nyerere aliiunga mkpno Palestina, je wewe utawaunga mkono Palestina au mapapai wenzio wa kimagharibi?
Papai ndiyo nani???

Nyerere aliunga mkono Kwa sababu zipi??

Wapalestina walikuwa wameivamia Israel Nyerere akawaunga mkono??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…