Sababu zangu za kuwaunga mkono Wapalestina ni za jadi ya Tanzania na Watanzania wote wanaojielewa

Sababu zangu za kuwaunga mkono Wapalestina ni za jadi ya Tanzania na Watanzania wote wanaojielewa

je Nyerere ni sw na huyu wa mikataba isiyo na kikomo tena na taasisi binafs sio serikali ya nchi
Siyo sawa kabisa, Nyerere alikuwaa na sifa ya udikteta, mama Samia ana sifa ya kusamehe (Reconciliation).

Kwa ufupi, tungekuwa na Rais wa kwanza Tanzania kama Mama Samia, Tanzania ingekuwa tajiri kuliko Dubai na Singapore.
 
Back
Top Bottom