Sababu zangu za kuwaunga mkono Wapalestina ni za jadi ya Tanzania na Watanzania wote wanaojielewa

Hiyo safi sana, yaani wayahudi wawe na rukhsa ya kuwaua na kuwashambulia wapalestina lakini wapelestina wasiwe na haki ya kudai ardhi yao na kuwauwa wayahudi?
Like. 19:41-44
41 Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,

42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.

43 Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;

44 watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako.
 
Na wewe mkenya, mungu wako ni myahudi?
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Hayo yasikitishe kabisa, Hamas ni mashaheed, hakuna Muisla asiyetaka kufa shaheed.

Mambo hayo yanawatisha nyinyi ambae mungu wenu ni myahudi.
 
Huyu Faiza hoja yake imekaa Kidini sana... Lazima aunge Palestina kwa sababu ni ndugu zake kidini
Faiza ni mdini alieshindikana anachukia dini zingine hasa ukristo na wakristo .mm simtambui kama muislamu pia kwa maana nawaheshimu waislamu na uislamu ni dini ya Mungu na waislamu Safi ni watu wa Mungu .ila swala la kusimama na wapalestina juu ya ulowezi haramu wa ardhi yao dhidi ya wayahudi hawa wasio wa Kibiblia ni swala la kila mwenye akili timamu. God protect the innocent Palestine 🇵🇸
 
kwa msioelewa ni kwamba, tangu enzi, ile ardhi pamoja na kwamba walipewa wayahudi kama urithi toka kwa Mungu, ila waliishi na makabila mengine pia, though chini ya utawala wa waisrael. na ndio pendekezo lililopo sana, no two state solution, kuwe na one state yenye wayahudi na watu wa kabila zingine. asilimia 13% ya raia wa israel sasaivi na wengine wapo jeshini, ni waarabu. kwa wasomaji wa Biblia, watakumbuka siku moja Daudi alikuwa anapunga upepo akaona binti mrembo (bethsheba) akioga yupo uchi, akamlala na akamuua Uria Mhiti then akamuoa yule mwanamke, na ndiye mama wa mfalme suleiman.

Uria hakuwa myahudi, alikua Mhiti na alikuwa kwenye jeshi la waisrael.
 
Kumbuka, mimi nimekuwa wakati wa Nyerere, nayafaham mazuri yake na mabaya yake. Wewe unamsikia tu.
je Nyerere ni sw na huyu wa mikataba isiyo na kikomo tena na taasisi binafs sio serikali ya nchi
 
mwambie akaangalie MAID IN HELL ni documentary
 
Hayo yasikitishe kabisa, Hamas ni mashaheed, hakuna Muisla asiyetaka kufa shaheed.

Mambo hayo yanawatisha nyinyi ambae mungu wenu ni myahudi.
unachokoza ili ufe shaheed ? huyo mung wenu ni hamnazo km ndo anawafundisha hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…