Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Ni mifupa mitupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Unataka kusema wana akili nyingivoluptous/curvy doesn't mean fat
huyo binti ni biggie/bonge
nataka kusema unene sio mtindo mzuri wa maishaKwamba Unataka kusema wana akili nyingi
Ka harufu ka watot wenye nyama ndo kananifanya npige long run, yaani kazi inapigwa pasipo kuwaza jana wala kesho1.usafi/hawatoi harufu
2.hawali chakula kingi
3.versatile
4.sio wavivu.
Ongeza na sifa nyingine
Ebhanaeee liko safi usimind sana babake unaweza uka honga laki - mchiz moxDUDE TAMU SANA HILI
Sio bora ukae home ukale Chai na chapati-ngwair🤣Ebhanaeee liko safi usimind sana babake unaweza uka honga laki - mchiz mox ngwair
Uache tabia ya kujirekodi we jamaaa😄😄😄😄😄😄😄😄Mi hata sijui nafagilia wepi, kifupi nina matamaa ya fisi kama ndgu yangu Poor Brain
AiseeVimaQu vyao havina nyama nyingi, havijanona
We jamaa aisee naona una fantasy kama yangu yani huyo dem ananipandishaga Mihemko vibaya sanaNa pia hawazeki haraka hamna mtoto anaichanganya akili yangu kama ayra star na kale kamwili acha tu Mungu Fundi ni kipishana na katoto kembamba kama ayra star njiani nakua mweu