Ukirejea maelezo yangu nilieleza kuwa ukiizoea sana bange unaiona kama sigara aina ya sport hii ni sigara laini sana ukiizoea unakuwa uhisi chochote unavuta tu kwa kuwa una alosto nayo.Mhh..Kuna mtu anavuta hayo madude toka sdt 4! Anajitenga na watu ..anaongea alone ...maongez take ukimsikiliza anakuwa Kama anajidefend. Anaongea as if Kama anampania mtu amuadabishe ..kwenye suala la akili anadai yy Hana akili Ila bang umemfanya afikie hiyo level ..anafanya PhD nw ..
Ila msibani hajimix...anajitenga Sasa huyu hajafika ukichaa kweli jamani? Kwa siku anavuta hata 6tyms
Sir nikushangaze kidogo PM wa Pakistan ni cocaine addict ambaye yuko kwenye matibabu ya muda mrefu tu.Bangi na tamu bana asikwambie MTU,kinachonikera ni kuvuta huku umejificha,,
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mkuu huyo cio Don kweli?Mhh..Kuna mtu anavuta hayo madude toka sdt 4! Anajitenga na watu ..anaongea alone ...maongez take ukimsikiliza anakuwa Kama anajidefend. Anaongea as if Kama anampania mtu amuadabishe ..kwenye suala la akili anadai yy Hana akili Ila bang umemfanya afikie hiyo level ..anafanya PhD nw ..
Ila msibani hajimix...anajitenga Sasa huyu hajafika ukichaa kweli jamani? Kwa siku anavuta hata 6tyms
Hata sisi bas tu ukienda uko tarime, maarumeru n.k bange zinaota zenyewLakini Pakistan na Afghanistan inajulikana kwa heroin, wana ardhi inayohimili kilimo cha coke?
l
πππ Mshikaji mmoja...kifupi namuonea huruma