Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,598
- 1,410
NI KWELI LAKINI MAPENZI HAYANA KOMANDO NDUGU; KUNA WATU WANASALITIWA UZEENI KAMA SIO UJANANISasa tutafanyaje na binadamu hawatabiriki, kikubwa usiwe na matarajio makubwa kutoka kwa binadamu, hata kama mnapendana kiasi gani, jitahidi kukumbuka kuwa kwa binadamu lolote huweza jitokeza.
π³Jamani usaliti dem anajifanya siri kumbe ana mtu wake wew haujui mm siku saba sijakula.
Kwahiyo sasahivi amesharudi kuomba msamaha?Mambo haya yamevunja uhusiano wangu, sina budi kusema ahsante mungu:
1. Uongo
2. Usaliti
3. Tamaa
4. Kukosa msimamo
5. Dharau
Nilifanya mambo mengi sana ya kujito katika familia yake lakini still bado aliniacha na kwenda kwa ex-wake kisa, jamaa ana hela. Nilinusurika kufa kwa uchawi kisa bibi yake anamtaka huyo jamaa mwenye hela za utapeli.
Huwezi kuamii nilirogwa na watu wawili tofauti; bibi na ex wa demu kisa tu, demu alikuwa hataki kwenda kwa jamaa. Hata mtoto aliyenaye ni wangu, ila jamaa anaaminishwa kuwa wake.
Mwishoni mwa siku binti alisema "unajifanya supastaa wa kutoa mapenzi tu". Mtoto amebadilishwa mpaka jina.....
Nb: Wanaume tuendelee kutafuta hela za kuwapa wanawake
Upo vizuri kwenye research kiongozi,.[emoji106]Ukipata mpenzi anayekuelewa na kukupenda basi hata dunia iwe ya tabu vipi kwako utaiona inazunguka kama kawaida na maisha yatasonga mbele kwako kwa raha mustarehe, na hata matatizo mengine makubwa kwako huwa madogo kwa sababu tu unapenda na kupendwa kwa dhati.
Hivi kumbe bado mnaendelea kupambana kutafuta hela za kuwapa wanawake?ππ Mtanishtua mkimaliza...Mambo haya yamevunja uhusiano wangu, sina budi kusema ahsante mungu:
1. Uongo
2. Usaliti
3. Tamaa
4. Kukosa msimamo
5. Dharau
Nilifanya mambo mengi sana ya kujito katika familia yake lakini still bado aliniacha na kwenda kwa ex-wake kisa, jamaa ana hela. Nilinusurika kufa kwa uchawi kisa bibi yake anamtaka huyo jamaa mwenye hela za utapeli.
Huwezi kuamii nilirogwa na watu wawili tofauti; bibi na ex wa demu kisa tu, demu alikuwa hataki kwenda kwa jamaa. Hata mtoto aliyenaye ni wangu, ila jamaa anaaminishwa kuwa wake.
Mwishoni mwa siku binti alisema "unajifanya supastaa wa kutoa mapenzi tu". Mtoto amebadilishwa mpaka jina.....
Nb: Wanaume tuendelee kutafuta hela za kuwapa wanawake
We hata UTI tu hunaga afu bado unapambania mapenzi!!! We yaache tu dada yatakupelekesha..., haya mahusiano ya siku hizi yanawafaa makonkodi haswaa...Uongo jamni inaumiza sana na ndo chanzo Cha mambo yote
πππWe hata UTI tu hunaga afu bado unapambania mapenzi!!! We yaache tu dada yatakupelekesha..., haya mahusiano ya siku hizi yanawafaa makonkodi haswaa...