Kama ellon musk alipo drop nafasi ya ukwanza baada ya kupata hasara hatuwezi kusema kafilisikaNafikiri unamaanisha kitendo cha pesa kupungua tutakiitaje na sio mtu.
Kama ni hivyo, Inategemea zimepunguaje. Kama pesa zimepungua katika michakato ya biashara inawezekana tukaita kupata hasara na kuna kiwango kikifika inaitwa kufilisika(sio kila pesa kupungua ni kufilisika).
Nii imani mkuu...lakini kupitia hiyo imani watu wanapona na wakipima unakuta mtu kapona. Kuna sehemu nimesema it's biologically Correct."Wanachofanya ni Reorientation of the spirit to better heal the body kwamba unaweza kua na tatizo Fulani mwilini ukaukonvisi mwili wako kwamba hauna tatizo hilo unapofanya hivyo unakua unaifanya roho yako iweze kumanifest cellular regeneration kisha cell zitazalishwa za kutosha na kutibu ugonjwa ambao mtu alikua anaumwa. So hapo kinachokua kimeponya si dawa bali ni roho yako mwenyewe"
Hii nadharia Inaweza kuthibitishwa kisayansi au ni suala la imani tu?
Bankrupt kiswahili chake ni nini?? Mnaweza kunipiga mawe kumbe tatizo lipo Kwenye kutokujitosheleza kwa maneno ya kiswahili.Kama ellon musk alipo drop nafasi ya ukwanza baada ya kupata hasara hatuwezi kusema kafilisika
Aliyefilisika anakua amesanda, kasizi, kakata ringi hana direction hata msosi kwake ni wakusua sua
Kinachofanya waganga waonwe ni waovu ni kutokana na source ya uwezo wao. Wengi wanakua hawapo originated to The Postive SourceKuna tofauti kubwa kati ya mganga na mchawi,usichanganye mambo,kuna wachawi kazi yao ni uchawi tu,na hata huwezi kujua au kukisia kuwa huyu ni mchawi,lkn kuna wengine ni waganga tu,kazi yao ni kutibu na kuponyesha,haruhusiwi kuuwa wala kushika dawa mbaya inayoambatana na kuua,lkn kuna wengine kazi yao ni kutabili tu,unakwenda kwake anakutabilia,anakuambia na vitu utakavyoviona,km utakutana na simba au mwehu au itakuja mvua au kuna tukio litatatukia mda furani wewe ukiona hivyo fanya hivi na itakuwa hivi,
Kwa hiyo hawa watu wanatofauti sana,na si kweli kuwa ni watu waovu,Hapana,ni watu wazuri sn na sana hofu sn ya mungu,shida kuna watu wanaamini mungu yupo kanisani au msikitini,ndio maana wanawahukumu kuwa ni watu waovu,
bankrupt ni kitendo cha mtu au kampuni kushindwa kulipa madeniBankrupt kiswahili chake ni nini?? Mnaweza kunipiga mawe kumbe tatizo lipo Kwenye kutokujitosheleza kwa maneno ya kiswahili.
Kama Boot na Power On
Nadhani hivyo pia yanachanganya, je unaweza kuniweka sawa kidogo kama hutajali??Mkuu Da'Vinci kuna vitu viwili umechanganya.
1.Kwamba utajiri na umaskini upo akilini.
2.Kwamba utajiri na umaskini upo katika uwezo wa mtu kukubali masharti mfano umetaja kafara za damu nk.
Huoni hayo mambo mawili yanachengana?
I might have been cursed with Knowledge??Wow, well written, where did you learn all of this. Unaandika vitu vikubwa sana nimejifunza kitu.
Thanks for sharing.
I might have been cursed with Knowledge??
Mfalme Solomon kwenye kitabu chake Ecclesiastes anasema kwamba
"18 Yaani,Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni;Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko."
Mkuu watu wengi sana they’re not acquainted with the “The Laws Governing the Universe”.
Hence they can’t live in harmony with them and get the most of whatever they do.
Wow, well written, where did you learn all of this. Unaandika vitu vikubwa sana nimejifunza kitu.
Thanks for sharing.
I never watched them mate....Kuna vitu unaweza kuanza navyo.
1. Unaweza watch these two videos regarding the Law of Attraction.
- “ The Secret “ by Rhonda Byrne
- “ The Meta Secret” by Mel D Gill
2. Pia waeza revie “The 7 Hermetic Laws of Universe”
- The Law of Mentalism
-The Law of Correspondence
- The Law of Vibration
- The Law Polarity
- The of Rhythm
- The Law of Cause and Effect
- The Law of Gender.
After watching those two Videos you’ll awaken the Giant with you and see the world in different angle.
All the best
Hizo laws zinazo govern the universe ndio watu wanazitumia kutengeneza umeme, magari, ndege, meli, roketi,redio, computer na simu unayotumia kuposti JF.
Hapana....Unasema zile za fizikia??
What a nice way to put it. Thank you.Ina maana kama mtu bado ni milionea hajafilisika kwa tafsiri yoyote ile. Zaidi sana mtu aliyetoa asilimia kama 10 tu ya utajiri wake haitakiwi kuehesabiwa kama amefilisika.
I never watched them mate....
Sina uhakika kama kwenye u-billionaire yumo tena.Exactly pesa zilipungua lakini kwakua ni mfanyabiashara hopefully alirudia alipokua.
What does "cursed with knowledge" mean?I might have been cursed with Knowledge??
Mfalme Solomon kwenye kitabu chake Ecclesiastes anasema kwamba
"18 Yaani,Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni;Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko."
Thank you very much, Idriss.Kuna vitu unaweza kuanza navyo.
1. Unaweza watch these two videos regarding the Law of Attraction.
- “ The Secret “ by Rhonda Byrne
- “ The Meta Secret” by Mel D Gill
2. Pia waeza revie “The 7 Hermetic Laws of Universe”
- The Law of Mentalism
-The Law of Correspondence
- The Law of Vibration
- The Law Polarity
- The of Rhythm
- The Law of Cause and Effect
- The Law of Gender.
After watching those two Videos you’ll awaken the Giant with you and see the world in different angle.
All the best