Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

Sababu zinazofanya wanatajirisha wengine wao wanabakia masikini

Andiko lako linakinzana sehemu
Mungu- shetani- pysich power
 
What does "cursed with knowledge" mean?
Hiyo statement nimeitolea Kwenye verses za mfalme suleiman katika kitabu chake cha Muhubiri Anasema
"Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni;Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko."

Akimaanisha japo wingi wa maarifa ni ishara ya baraka kwa mtu lakini pia inaweza kua ni laana kwake maana unapokua na maarifa ya vitu vingi huzuni,hofu na masikitiko vitakuandama kwakua utakua unafahamu mambo mengi kuhusu dunia ilivyo.

Utajua jinsi watu wanavyoonewa na kudhurumiwa, utajua mateso ya viumbe mbalimbali wanayoyapata. As mtu mwenye maarifa utatamani kubadirisha dunia iwe mahali salama na ya haki kwa kila mtu ila utashindwa. Hence unabaki na huzuni na masikitiko juu watu kutokana na maarifa hayo
 
Hiyo statement nimeitolea Kwenye verses za mfalme suleiman katika kitabu chake cha Muhubiri Anasema
"Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni;Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko."

Akimaanisha japo wingi wa maarifa ni ishara ya baraka kwa mtu lakini pia inaweza kua ni laana kwake maana unapokua na maarifa ya vitu vingi huzuni,hofu na masikitiko vitakuandama kwakua utakua unafahamu mambo mengi kuhusu dunia ilivyo.

Utajua jinsi watu wanavyoonewa na kudhurumiwa, utajua mateso ya viumbe mbalimbali wanayoyapata. As mtu mwenye maarifa utatamani kubadirisha dunia iwe mahali salama na ya haki kwa kila mtu ila utashindwa. Hence unabaki na huzuni na masikitiko juu watu kutokana na maarifa hayo
Thank you for the detailed explanation.
Tukirudi kwenye swali lako,
It depends, mimi naamini ni gift ila inaweza kuwa curse kutokana na namna unavyoipokea na aina ya knowledge ambazo upo nazo.

IFAIK ,Being knowledgeable is something that you should be truly proud of, forget about "ignorance is bliss" .
 
Thank you for the detailed explanation.
Tukirudi kwenye swali lako,
It depends, mimi naamini ni gift ila inaweza kuwa curse kutokana na namna unavyoipokea na aina ya knowledge ambazo upo nazo.

IFAIK ,Being knowledgeable is something that you should be truly proud of, forget about "ignorance is bliss" .
I can dare call it curse maana nakua navitu vingiii kichwani situlii mpaka nivitoe kwa kuongea au kuandika.
But I normally take this as blessed Gift from Creator.

Wewe unaonaje na kushaurije??😔
 
I can dare call it curse maana nakua navitu vingiii kichwani situlii mpaka nivitoe kwa kuongea au kuandika.
But I normally take this as blessed Gift from Creator.

Wewe unaonaje na kushaurije??😔
Nina swali moja katika tamko "laana", ni nini maana ya laana ? Kwanini usingetosheka na tamko "huzuni" au "masikitiko" kama ulivyo lisoma katika hicho kitabu cha mahubiri ?
 
Wao wanajua hakuna utajiri wa bure, ni lazima ufanye ubaya. Wao hawataki kufanya ubaya ndio maana ukiambiwa kuchinja kuku unakata kichwa mwenyewe. Wanataka kama ni kutoa uhai wa mtu utoe mwenyewe. Wao hawathubutu ndio chanzo cha kuwa masikini
 
Wao wanajua hakuna utajiri wa bure, ni lazima ufanye ubaya. Wao hawataki kufanya ubaya ndio maana ukiambiwa kuchinja kuku unakata kichwa mwenyewe. Wanataka kama ni kutoa uhai wa mtu utoe mwenyewe. Wao hawathubutu ndio chanzo cha kuwa masikini
Kabisa yaani wao wanapiga kazi wewe unataka pesa za mteremko
 
Nina swali moja katika tamko "laana", ni nini maana ya laana ? Kwanini usingetosheka na tamko "huzuni" au "masikitiko" kama ulivyo lisoma katika hicho kitabu cha mahubiri ?
Laana ni kitu kibaya anachokipata mtu kwa kuzaliwa nacho au lah
 
Laana ni kitu kibaya anachokipata mtu kwa kuzaliwa nacho au lah
Hakuna laana ya kuzaliwa. Kama ushajua laana ni kitu kibaya, kwanini unajipamba na vazi baya ?

Laana huja baada ya mtu au watu kuasi kwa kudhulumu nafsi zao au nafsi za wenzao au kuleta kiburi na uasi kwa Mola muumba. Laana huwa ni matamshi yatokayo kwa mja au Mola na humdhuru yule mwenyewe kukusudiwa. Kadhalika si kila laana humpata toka kwa mtu aliyemkusudia mwenzie, endapo laana hiyo ikitolewa kwa dhulma basi haitomdhuru yule mdhulumiwa bali hurudi kwa yule aliyedhulumu.

Maana sahali na nyepesi ya Laani ni mja kutoka nje ya rehma (huruma) za Mola muumba. Ndiyo maana tunaposema Shetani amelaaniwa, basi ametoka katika huruma ya Mola mlezi na makazi yake ni motoni milele.

Kwa ufupi hayo ni machache kuhusu laana.
 
Du!...
Hapa ndo unatamani uonane na MTU ukaenae akuelezee kwa kina uelewa wake wa mambo
 
Back
Top Bottom